Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshtuka maana mleta mada kasema mabati mwanzo mwishoHapana za mijengo ya maana
Hahaha,Baada ya kuangusha kwangu nikawauliza oyaah vipi Tena mbona Fujo mkuu?.
Jamaa akanijibu kausha man nikajua labda watafunga hili turubai lao kwakweli walipanda kitandan na kuanza Tena kupelekeana moto.
Nikawa nawasha tochi ya simu nikidhani labda wataacha ama kupunguza lakini haikusaidia.
Misikiti ipo.Huko hakuna makanisa au misikiti?
Naskia madem wa kanda ya ziwa hamna cha romance sijui denda kumuandaa sijui nini. Yani mkishakubaliana ni kuvuana nguo na kukutupa kitandani halafu style moja tu kifo cha mende (missionary) ukimfikisha kileleni anakunyuka makwenzi ya kutosha na kukung'atang'ata huku akipiga yowe la hatariii.Ukifka MWIME pale KAHAMA yaan madem wote wana ngeu wakiingia gest bubu n kama vita yaan kanda ya ziwa kama n mgeni unapakimbia ulifka chimbon huko wanazengo wanafanya mapenzi hadi HADHARANI..!!!
Yes ni live bila chenga % kubwa ya wanawake walioko huko ni single mother. Nadhani wanawake wenye waume zao ni3% tuNasikia huko gono ni kugusana tu umelipata
Ni hatari mkuuAisee
Mwamba ndo utafutaji huoUmenikumbusha kitunda SIKONGE TABORA
Thanks 🙏good observation
Omba tu yasikukute halafu jamaa akaniambia kausha man akaendeleza mtifuano.Usiku ule ulikuwa mrefu sana kwangu. Jamaa aliipiga Hadi wakadondoshana kwenye chumba changu asee.
nimecheka sana hapa
Huko Hadi chapati za buku2 Moja utapata yaani Moja tu unashiba! Hadi pizza utazipata hakuna kitu utakoswa. Hoteli kubwa Huwa zinaleta chakula kule kwenye gari!! Niwewe na Hela Yako tu.Machimbo ya madini mnakula chakula cha jero
Mgodini au siyo? Misheni kwa mbele pale full mabati na ule udongo wake ulivyo kipindi cha mvua ni shida aisee vp yule demu barmaid wa kimasai yupo? MkuuUmenikumbusha kitunda SIKONGE TABORA
Migodini watu wanaingia na kutoka mara kwa mara mkuu huenda sikumkuta,, nilipita pale 2022.Mgodini au siyo? Misheni kwa mbele pale full mabati na ule udongo wake ulivyo kipindi cha mvua ni shida aisee vp yule demu barmaid wa kimasai yupo? Mkuu
Sahihi sanaNaskia madem wa kanda ya ziwa hamna cha romance sijui denda kumuandaa sijui nini. Yani mkishakubaliana ni kuvuana nguo na kukutupa kitandani halafu style moja tu kifo cha mende (missionary) ukimfikisha kileleni anakunyuka makwenzi ya kutosha na kukung'atang'ata huku akipiga yowe la hatariii.
Pale sio poa kabisa ngono inatembea mpaka aibu aiseeMigodini watu wanaingia na kutoka mara kwa mara mkuu huenda sikumkuta,, nilipita pale 2022.
Mkuu solar inaweza kukufanya ukawa doni hivihivi imagine simu unachaji Kwa jero simu 50-100 Kwa siku ni kawaida. Hapo uligonga mtaji wa mtu asee.Umenkumbusha nyarugusu... kuna kimgodi nikaenda na ndinga kluger ya foreigner flan aseee si nikakanyaga solar nlikuwa sjaona oyaaa nlijaziwa NZI sjawahi ona n kama vile nmeuwa...lkn nliwamudu