Heka Hela za machimboni: Hizi ndizo sifa za Hoteli (migahawa) ya masankuloni ukiwa machimboni

Heka Hela za machimboni: Hizi ndizo sifa za Hoteli (migahawa) ya masankuloni ukiwa machimboni

Baada ya kuangusha kwangu nikawauliza oyaah vipi Tena mbona Fujo mkuu?.

Jamaa akanijibu kausha man nikajua labda watafunga hili turubai lao kwakweli walipanda kitandan na kuanza Tena kupelekeana moto.

Nikawa nawasha tochi ya simu nikidhani labda wataacha ama kupunguza lakini haikusaidia.
Hahaha,
Mbususu kwa huyo mwamba ni kama msosi tu
 
Ukifka MWIME pale KAHAMA yaan madem wote wana ngeu wakiingia gest bubu n kama vita yaan kanda ya ziwa kama n mgeni unapakimbia ulifka chimbon huko wanazengo wanafanya mapenzi hadi HADHARANI..!!!
Naskia madem wa kanda ya ziwa hamna cha romance sijui denda kumuandaa sijui nini. Yani mkishakubaliana ni kuvuana nguo na kukutupa kitandani halafu style moja tu kifo cha mende (missionary) ukimfikisha kileleni anakunyuka makwenzi ya kutosha na kukung'atang'ata huku akipiga yowe la hatariii.
 
Umenkumbusha nyarugusu... kuna kimgodi nikaenda na ndinga kluger ya foreigner flan aseee si nikakanyaga solar nlikuwa sjaona oyaaa nlijaziwa NZI sjawahi ona n kama vile nmeuwa...lkn nliwamudu
Mkuu solar inaweza kukufanya ukawa doni hivihivi imagine simu unachaji Kwa jero simu 50-100 Kwa siku ni kawaida. Hapo uligonga mtaji wa mtu asee.
 
Back
Top Bottom