Kitunda nilikua nakuja asubuhi , usiku naenda kulala mission, itumbi, nyangarata, nyanzaga, kiwanja, saza , ukweli kama mpambanaji haukuwahi kupita machimboni bado unakua kama underground , haujui timba ni nini, fonga/fonka, vikole, Azam mifuko, karasha, Mercury , mwalo baadhi ya terms , mchimbaji anatembea hakuna mchezo akisikia Dar pori , mbinga mbinguni nae yupo, akisikia mpanda kama kawaida kafika, mnakua wengi wengi hupata na wengi hukosa , mwisho wa siku mfanyabiashara ndio anapata hela , wengine zinaishia kwenye starehe , hadi Makota wanaendekeza starehe wanaishiwa