Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #41
Hii nikweli kabisa niliona chizi anapigwa machine na jemba mbili. Kwa sababu ilikuwa Chocho nilihofia usalama wangu nikatokomeaUkifka MWIME pale KAHAMA yaan madem wote wana ngeu wakiingia gest bubu n kama vita yaan kanda ya ziwa kama n mgeni unapakimbia ulifka chimbon huko wanazengo wanafanya mapenzi hadi HADHARANI..!!!
Wachimbaji wadogo mkuuUnazungumzi mgodi gani au umegeneralize
Watu wanakulana mpk kinyaa mzee.Pale sio poa kabisa ngono inatembea mpaka aibu aisee
Pale nyangarata vilkuwepo vyumba 30k Tena vyumba 5 tu na vilikuwa be hukuliwa na makota. Huko kwingine kote sijawahi ona tofauti na nyangarata. Pia kama chimbo limebamba ni ngumu kujua Kila kitu.Nimekaa machimboni sana sijawahi kuona chumba Cha elfu 30 mkuu...... Hapo umetuleta kati
Maambukizi yapo juu sana pale aiseeWatu wanakulana mpk kinyaa mzee.
Mama na bintiye wote wanauza, utamu wanapishanisha tu wanaume chumba kimoja. Mchana wanauza mgahawa usiku wanalika dadeki.
Sikupingi mkuu starehe iliyoko huko ni ya Dunia ingineKitunda nilikua nakuja asubuhi , usiku naenda kulala mission, itumbi, nyangarata, nyanzaga, kiwanja, saza , ukweli kama mpambanaji haukuwahi kupita machimboni bado unakua kama underground , haujui timba ni nini, fonga/fonka, vikole, Azam mifuko, karasha, Mercury , mwalo baadhi ya terms , mchimbaji anatembea hakuna mchezo akisikia Dar pori , mbinga mbinguni nae yupo, akisikia mpanda kama kawaida kafika, mnakua wengi wengi hupata na wengi hukosa , mwisho wa siku mfanyabiashara ndio anapata hela , wengine zinaishia kwenye starehe , hadi Makota wanaendekeza starehe wanaishiwa
Mkuu usipinge Mimi nilichoandika ndo nilichokishuhudia. Huwezi kuvijua ama kuviona vyote. Hapo nyangarata kulikuwa na gest ilikuwa inaitwa hata "Hata shetani anashangaa" Bei ilikuwa 20k badae ikashuka 15 nimelala sana pale.50k za mabati sheikh?
Kuna muda bangi inavutwa kama bila kificho na askari anapita Wala hajariYeah kule ndio utakutana na watu wameshajichoka huku duniani.
Kama hujawahi kukutana na mabroke hii dunia basi nenda mgodini, watu hawana kitu kabisa mpaka fegi mtu anagongea.
Story hizo mkuuNaskia madem wa kanda ya ziwa hamna cha romance sijui denda kumuandaa sijui nini. Yani mkishakubaliana ni kuvuana nguo na kukutupa kitandani halafu style moja tu kifo cha mende (missionary) ukimfikisha kileleni anakunyuka makwenzi ya kutosha na kukung'atang'ata huku akipiga yowe la hatariii.
UhakikaMachimboni watu wakipata pesa kuna kila aina ya dhambi
Watu wanakulana mpk kinyaa mzee.
Mama na bintiye wote wanauza, utamu wanapishanisha tu wanaume chumba kimoja. Mchana wanauza mgahawa usiku wanalika dadeki.
Huko ukimwi sio wa kuuliza.Maambukizi yapo juu sana pale aisee
Watu wanapigwa mtingozi hadharaniUhakika
Yakafanyaje huko mkuu? Wakiweka makanisa yatakuwa gest usiku.Huko hakuna makanisa au misikiti?
Sitengui kauli yangu zipo hivyo nambie nilivyosema nisahihi 100% wee ukihitaji ya buku1500 unapata piaNimeshtuka maana mleta mada kasema mabati mwanzo mwisho
BalaaHatari sana
Zinauzika sana tu. Hivyo zinatumika.Kinga wanatumia kweli
Kule hata shetani Huwa anakaa pembeni kwanza asikilizie aone dhambi mpyaWatu wanapigwa mtingozi hadharani
Ngoja nimuulize Kuna jamaangu anayo nitakujibu keshoHivi karasha la kusaga mawe ni bei Gani Kwa Sasa?