T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Machimboni pamoja na kwenye makambi ya uvuvi watu ustaarabu zero na wengi hawana cha kupotezaHahaha,
Mbususu kwa huyo mwamba ni kama msosi tu
Kwa nadra sana, kuna jamaa yetu aliupata Ukimwi huko tulishamzika, huko wqtu wanaishi dunia yaoKinga wanatumia kweli
Mkuu Kuna pharmacy tu ambazo hutoa huduma ya kwanza. Ajari ni nyingi sana humo maduarani. Wingi wa ajari hutokana na chimbo Hadi chimbo.Ila mkuu hujagusia kipande muhimu sana cha huduma za afya
Je ukipata maradhi inakuwaje?? Vipi kuhusu ajali za hapa na pale
je kuna madaktari au ndio kila mtu tabibu
Vipi kuhusu vipimo na check up za kiafya
Vipi huduma ya kwanza? Na masuala mengine kama hiyo
Mwisho wa yote vipi kuhusu sayansi nyeusi? Masuala ya ulozi,kinga, ti a, makafara n.k
Na hapo upo karumwa pale ni mjini ujue mkuu ni makao makuu ya wilaya ya nyang'hwale. Hayo maji Huwa wanachota kwenye visima vya wazi kama bwawa fisi huogea humo mara nyingi. Binafisi nimekulia maisha hayo hata nikienda kesho nikikuta nakunywa tu bila shida yoyote.Hii story sio mchezo, sijawahi kufanya kazi migodini, Ila kwenye mishe mishe zangu za kutafuta shilingi, nimefika kakola, kalumwa, Nyalubezi/kahama huko nimekutana sana na wachimbaji wadogo,
Nilipofika kalumwa, nikaagiza msosi,sasa Yale maji ya kunawa,yana rangi kama chai ya maziwa, wao wanayanywa bila shida, mie kunawa tu, niliugua typhoid balaa, ilibidi nirudi Mwanza kwanza kuugulia! Wabongo wanapiga kazi aisee!heshimakwao.
Nimegusia kuwa huko chimbo hakuna mnyonge ubabe ni sifa ya Kila mtu.wale wa chimbo la chunya tujuane,.....
kuna kitu hujakazia vizuri mkuuu,....VURUGU NA UKATILI,... chimboni ni noma sana,....
Sahihi kabisa Kwa mfano kungekuwaga na magari yenye huduma zote za kitabibu unapiga Hela vibaya.Ni vile tu serikali zetu dhaifu sana ila utitiri wote huo machimboni ni hela nzuri tu kwa serikali km kungekuwa na utaratibu mnzuri na wa kistaarabu.
Wanaumoja sana utafikiri wote wametoka sehemu Moja mwenzao akifa au kupata ajari watajichanga chap mno huku wakitafuta ndg zake Kwa gharama yoyote ile.Bila kusahau umoja wanasaidiana sana
Hahahaaa hatari sana mkuuumenikumbusha kalole,ishokela,dutwa dah
Kawaida sana kuleNilishawahi kulala kwenye zile form(benchi) miaka ile unalipia kama kitanda
yap,...ni kweli na hata wanawake wa bar wengi huuwawa sana ,..anga hizoNimegusia kuwa huko chimbo hakuna mnyonge ubabe ni sifa ya Kila mtu.
Mimi pia nyangarata nilikuwepo,kakola,nyakagwe,nyarugusu hata Jana nilkuweko ndo nikaona niandike na hili Kuna chimbo linaitwa nyaruyeye nilienda kuangalia namna Gani ya kuweka ka mradi.Upande wa migodini nimeishi kakola,nyangarata,nyakagwe,nyandorwa,isonda,bugarama,nyarugusu ,igarula
Shida sana sojakugusia hata ofisi yaani celo ipo ukiyakanyaga lazima uweke selo Kwa muda Hadi ulipe faini au police wakuijieyap,...ni kweli na hata wanawake wa bar wengi huuwawa sana ,..anga hizo
Mkuu sijasema kuwa hakuna migahawa mizuri na ya hadhi hapana. Mimi nimesemea hotel za masankuloni hizi Huwa pembeni au kwenye mti mkubwa hawajengi vibanda kama akina mama ntilie wengine. Ndo nilipojikita hasa.Kwa sababu umesema mwime subrine hotels alikuwa analeta msosi pale na gari yake asee hadi pizza ukiagiza alikuwa analeta. Hizo hotel ulizotaja huenda majina Mimi sijui ila ukiwa pale ofisini ya mwime chimboni kama unashuka maduarani mkono wa kushoto na kulia kulikuwa na hoteli xmart sana na chakula Cha hadhi ya juu mno.Kuhusu swala la chakula kwa mama ntilie siyo wote,kuna migahawa baadhi misafi na chakula chao kipo safi kabisa
Yaani huko kukuta watu wanakunywa kwenye kichaka kimoja na wanaonana sio jambo la kuuliza wee pita ukanye tu ukimaliza pita Hivi.Machimboni pamoja na kwenye makambi ya uvuvi watu ustaarabu zero na wengi hawana cha kupoteza
Huko ukimwi mkuu ukipenda peku na pombe umeishaa kabisa watu wako mbele na pesa tu.Kwa nadra sana, kuna jamaa yetu aliupata Ukimwi huko tulishamzika, huko wqtu wanaishi dunia yao
Msalimie Mabula na Chale hapo Itumbi.Itumbi center kuna lodge za hadi 50k , na za 3k zipo
Mbona Bulyambata . Hapa katikati ya Ikina na Nyarugusu jirani na Nyaruyeye hupataji?.Mimi pia nyangarata nilikuwepo,kakola,nyakagwe,nyarugusu hata Jana nilkuweko ndo nikaona niandike na hili Kuna chimbo linaitwa nyaruyeye nilienda kuangalia namna Gani ya kuweka ka mradi.
Upande wa Ziwa nilikuwa mgaza chato huko Kuna visiwa vingi tu ila makao yangu yalikuwa hapo mganza