Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Boss, asante sana kwa kuchangia JFVituko!Nchi inaangamia halafu mtu anakuja na mada kama hii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss, asante sana kwa kuchangia JFVituko!Nchi inaangamia halafu mtu anakuja na mada kama hii!
Boss, huwa hawaogopagi kuonekana walafi?Mtoto wa Masikini utamjua wakati wa kula.
😀😀
Kiubinadamu hilo halikwepeki japo sometimes hutegemea mtu na mtu.Boss, huwa hawaogopagi luonekana walafi?
Ndio mkuukwa hiyo kuongeza chakula ni mojawapo ya changamoto kwenye jamii yetu.
Sijakurupuka hata kidogo mkuuumekurupuka
Inakuwaje mtu mzima na ndevu zake anashindwa kuizuia tamaa ya muda mfupi na kuamua kujidhalilisha namna ile mbele ya kadamnsi?kwa hiyo kuongeza chakula ni mojawapo ya changamoto kwenye jamii yetu.
imani yako ni kwamba kuongezea chakula ni aibu mbele za watu. hujui kila mtu sna kiasi chake cha shibe?? ukumbini walitangaza chakula kimebaki lakini?Inakuwaje mtu mzima na ndevu zake anashindwa kuizuia tamaa ya muda mfupi na kuamua kujidhalilisha namna ile mbele ya kadamnsi?
Mimi huwa nawaambiaga weka paja hilo hapa.Kuongeza msosi mm huwa naongeza sn tu tatizo moja ukifila kwenye kuku huwa wapakuaji wanalaza hvo wanataka uongeze vitu lkn kuku wanabana
Ina maana katika kadamnasi yote ile ya watu takribani 200, wao tu ndio walikuwa na njaa ya kufa? Nilijisikia aibu sana aiseehujui kila mtu sna kiasi chake cha shibe??
Kwanini unaleta masuala ya siasa za nchi katika mijadala ya kijamii kama hii ya Infantry Soldier ?Huwezi kuwa salama wala kutetea chama kwa kutukana wamama na wanawake.Unajidanganya tu,halafu umesaidia kuonyesha umma jinsi ulivyo na akili ndogo.Umejidhalilisha wewe mwenyewe pamoja na chama chako mfu!
Hauogopi kuonekana mroho na mlafi mbele za watu?Mimi huwa nawaambiaga weka paja hilo hapa.
Hauogopi kuonekana mroho na mlafi mbele za watu?...Sijazoea huo utumwa, sijashiba naongeza.
Mimi sio mnafiki....Hauogopi kuonekana mroho na mlafi mbele za watu?
Hii ndio busara kaka mkubwa.haina haja kuongeza
Hakika mkuu...Usiku unatakiwa kula chakula kidogo.
Hakika huu ni ustaarabu uliotukuka...Arusi zilizostaarabika,huwa msosi ukiishaandaliwa hutolewa tangazo kwenda kujisevia mtu kipimo anachotaka.
"Sometimes terror must be used to fight terrorist themselves"Sasa kama nimeleta mambo ya siasa kwenye mada za kijamii mwarubaini ni kutukana wamama na wanawake?!