Heko Babra Hassan wa Clouds FM

Rio Tinto

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
777
Reaction score
451
kusema ukweli huyu mtangzaji wa power break fast yuko vizuri sana I think IQ yake na emotional intelligence yake iko juu sana compared to her colleagues......Big Up Mdada
 
aiseee kumbe ndiyo huyo.....siku zote nilidhani kadada fulani potabo......LOH
Nikilinganisha na nilivyomuona almost three years ago, naona kwa sasa... sifahamu neno sahihi la kuweka lakini ungemuona wakati huo maelezo yako yasingeishia hapo! In short, ame-improve sana nadhani hiyo picha ni ya miezi ya karibuni au imezidi sana ya 2013!
 

Nadhan kajitahidi kupunguza mwili. Kawa mzuri wakati huu. Miaka miwili- mitatu nyuma alikuwa kibonge, halafu naona kwenye picha hii kawa mweupe, labda mambo yetu yale kama ya Snura ambaye kwa sasa ni mweupeeew lakini kwa wanaokumbuka filamu huko zaman kidogo alikuwa mweusi kabisa! Anyway ndo maendeleo hayo, ya artificial beautification!
 
You're very right... unajua sijamuona Barbara muda mrefu sana, nimeshangaa sana hizo picha ndo maana am very certain sio picha za zamani sana!
 
Napenda sauti yake kuliko alivyo
sure... she's cute voice halafu anajua kutembea nayo, si kwenye kiswahili tu bali hata kwenye kizungu... lazima utampenda! And good enough, sio sauti ya kuilazimisha!
 
sure... she's cute voice halafu anajua kutembea nayo, si kwenye kiswahili tu bali hata kwenye kizungu... lazima utampenda! And good enough, sio sauti ya kuilazimisha!

Ila Hando huwa anampeleka peleka sana huyu bi mdada.....kwangu huwa ni burudani tosha
 
Sidhani kama kuna mtangazaji wa kike hivi sasa anamfikia kwa sauti nzuri........hawezi kuongea ukabadili station .........ananikumbusha enzi za Christina Mosha (Seven) ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…