Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

Heko, Rais kipenzi cha watanzania, tabasamu larejea Ngorongoro, lakini...!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
 

Attachments

  • GVrykxHWYAAn1K5.jpeg
    GVrykxHWYAAn1K5.jpeg
    62.6 KB · Views: 1
  • GVryKntXUAAgAQt.jpeg
    GVryKntXUAAgAQt.jpeg
    47.1 KB · Views: 1
  • GVrtifEX0AAO_u2.jpeg
    GVrtifEX0AAO_u2.jpeg
    518.9 KB · Views: 1
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake!
°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake!
°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!
Tupunguze uchawa kwenye maisha ya watu. Mada zako nyingi ni za uchochezi ila ujue umeshafahamika nia yako ovu dhidi ya wengine. Na wewe inawezekana ni wa Burundi au Msumbiji.
 
Tupunguze uchawa kwenye maisha ya watu. Mada zako nyingi ni za uchochezi ila ujue umeshafahamika nia yako ovu dhidi ya wengine. Na wewe inawezekana ni wa Burundi au Msumbiji.
Mimi nipo zaidi katika misingi ya UHIFADHI WA MAZINGIRA,
I personal worth environment!, naumia sana pale tunapo disturb mbuga na misitu yetu, binafsi nafahamu, shughuli za binadamu na maharibifu yake anapoingia pahala!
#Thought noted well.
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na kuongeza vibanda kila uchao!,
Wewe hauko wala haujawahi kufika Ngorongoro hilo tabasamu umelionea wapi! Acha ukupe wa kijinga.
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Wanyama wa serengeti pia ni wanyama wa maasai mara.
Mwenye akili amenielewa
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake!

°Idadi ya masai mbugani ni kubwa mno, serekali yetu ingetafuta namna ya kupunguza wingi wao kwani ni hatari kwa Ekolojia ya ngorongoro!

°Aidha eneo la hifadhi ya Ngorongoro liwekewe mipaka kutenganisha na vijiji vya masai, na mbuga hizo ziwe zinatumika kwa malisho pekee ya mifugo na si kuongeza vibanda kila uchao!,
Hee, maharage ya wapi haya?
 

Attachments

  • 20240810_104202.jpg
    20240810_104202.jpg
    86 KB · Views: 1
Wataondoka tuh,it's just a matter of time... hatuwezi Wacha mbuga ziharibiwe na uzao wa kimasai then vizazi vijavyo vikose hiyo rasilimali,no way.
Asante kaka kwa uelewa pevu, mara nyingi binadamu anapokaa mahali huathiri mazingira, atakata kuni, japo ana ngombe lakini atawinda swala, atajenga nyumba, atakata msitu ili alime, na mengi tu. /atazaa watoto na kila mtoto ataitaji shamba lake, calculate 30 coming year itakuwaje?, tutakuwa na mbuga ya urithi wa dunia kweli?.
 
°Operation ya kuwatambua ianze, mara moja, nina mashaka kama kweli masai hawa wote ni wa tanzania, Niliwahi kutana na mmasai pahala fulani, katika kuongea nae, akaniambia yeye ni masai ya Kenya na akanionyesha kipande yake! / umakini na angalizo isije ikawa kwa umasai wao wakawa na Id za mataifa yote mawili, wanapiga kura Kenya alkadhalika wakapiga kura tanzania!
Ukitaka kusifiwa Tanzania tengeneza tatizo halafu undo, waliolitengeneza ndiyo hao watakuwa namba 1 kushangilia na wataandaa maandamano ya kukupongeza

Nitaamini hhaikuwa cenema iwapo waliomshauri kuwafukuza masai watawajibishwa
 
Back
Top Bottom