Achana na hela za bahati, za waganga au za kurithishwa na kupewa, kwa uzoefu wangu hizo hela zikipotea ndo zimeenda huwa hazirudi.[emoji419][emoji375]Niamini mimi,
Achana na hela za bahati, za waganga au za kurithishwa na kupewa, kwa uzoefu wangu hizo hela zikipotea ndo zimeenda huwa hazirudi.
Lakini kwa mtu mpambanaji kweli kweli hata kama akiteleza akapoteza kiasi kikubwa cha utajiri wake basi hela zitakumbuka njia yake siku moja na kumrudia.
Kuamini hili swala wewe tembelea mgodini au ziwani kwa wavuvi. Watu wanapiga 10m na kwa sababu mbalimbali ndani ya miezi miwili hana kitu ila anajua atapata tena.
Kwa hio usisubirie bahati, hela za bahati zikija chukua ila usiforce, hela zako za kuhangaika ndio mpango mzima
Kilichofanya niandike huu uzi kuna mwana tulikua nae bar jana hadi saa kumi usiku, jamaa alianza kutajirika akiwa dogo sana mimi kipindi nasoma ila akaja kufanya mistake moja akapoteza sana hela, maneno kawaida hvohvo, hadi mke wake alimuacha. Hio jana jamaa tulikua nae anasukuma nissan patrol ya 2018, na sasahiv Ana maduka ya spare za pikipiki na bajaji huko kaskazini na kanda ya ziwa kama uchafuNi kweli kabisaaa
Mie miaka Kama mi4 nyuma,nilipigwa na upepo mbaya
Nikapoteza almost everything,kuanzia nyumba,gari,viwanja,pesa
Nilirud zero kabisa,kila aliyenijua alishangaa,wakabak wakinisema kalogwa huyu,kapigwa huyu
Mungu si athuman kuanzia Jan this year nimeanza kurud mdogo mdogo,wananishangaa pia,wanasema kaenda bust
No,ni Mungu kanipa nafasi nyingine Tena🙏