Sasa Mbugani huko si kuna King wa Pori na Nyau wa Pori(Chui) Mungu uwaepushe ingawa wanatukana sana
Wafe tu watu wa ccm kwsbb wenyewe wanawaita wenzao maiti,,,adui mwombe njaa tu,,,tn wafe km nzige waliokula sumu ili watambue ukuu wa MUNGU,,wanajidai sana,,naomba mwenyez Mungu awapunguze wooooote hasa nape,mwigulu,bulembo na panya wengn wote
Mwenye baba mtu kasema hivyo taarifa za Radio one zinasema vingine.
Wametajwa kwenye thread ya kwanza. Wewe scroll juu utakutana nayo.Ilikuwa imewabeba wakina nani hasa?
Wamemtukana sana Lowassa kiasi kwamba hakuna mtu anaguswa na misiba ya CCM!!
Wamemtukana sana Lowassa kiasi kwamba hakuna mtu anaguswa na misiba ya CCM!!
Tatizo hawa Maficiem wanatukana sana mpk wanmpa Mungu Kero. Wanawaita wenzao maiti Mara sijui wagonjwa....Mungu hapendi ujue....angepanda JK tu akutane uso kwa uso na King Lion
Mungu wajalie afya njema. Nikweli hata mimi binafsi siipendi ccm ila Deo na wenzake ni ndugu zetu tuwaombee wawe salama. Kama ni ushindani ni kwenye kura sio kuombeana vifo. Serikali tunaomba vyombo vya uokoaji viende na tupate taarifa za hao ndugu zetu.
Mungu aepushie mbali na kuzilinda roho zao binafsi namkubali sana FILIKUNJOMBE na siku zote amekuwa mbunge wangu wa mfano regardless chama anachotoka.
Duuu Mungu aepushie mbali isije kuwa imeleta maafa!