TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Sasa Mbugani huko si kuna King wa Pori na Nyau wa Pori(Chui) Mungu uwaepushe ingawa wanatukana sana

Mkuu,
Yaani Mzee wa Nyika a.k.a King lion awe na njaa halafu eti we kwa kuandika tu hapa Mungu awaepushe utegemee kule Simba abadili mawazo????

Hapa ni kusubiri matokeo tu
 
Wafe tu watu wa ccm kwsbb wenyewe wanawaita wenzao maiti,,,adui mwombe njaa tu,,,tn wafe km nzige waliokula sumu ili watambue ukuu wa MUNGU,,wanajidai sana,,naomba mwenyez Mungu awapunguze wooooote hasa nape,mwigulu,bulembo na panya wengn wote

Tatizo Dua La Kuku Halimpati Mwewe Mkuu....
 
Tatizo hawa Maficiem wanatukana sana mpk wanmpa Mungu Kero. Wanawaita wenzao maiti Mara sijui wagonjwa....Mungu hapendi ujue....angepanda JK tu akutane uso kwa uso na King Lion
 
Mwenye baba mtu kasema hivyo taarifa za Radio one zinasema vingine.
attachment.php
 
Jaman mm ndio naenda huko muwe na subira ntawapa mrejesho
 
Wamemtukana sana Lowassa kiasi kwamba hakuna mtu anaguswa na misiba ya CCM!!

Mkuu,
Kuniwekea bei kubwa kwenye huduma muhimu kama madawa ni kama kutaka kuniua tu indirectly, hivyo basi kuwahi kufa wewe unaetaka kuniua mimi indirectly kabla yangu ni ushindi Kwangu.
 
hivi huyu marobe alivokurupuka jana na kusema hamna ndege yyte ya kwao iliyoanguka alikua ana maana gani yani yy kazi yake ni uongo na kukanusha tu..huyu jamaa sijui vipi.


naahukuru hamna majeruhi.Mungu mkubwa
 
Wamemtukana sana Lowassa kiasi kwamba hakuna mtu anaguswa na misiba ya CCM!!

usiwe hivyo mkuu hao ni binadamu sio mawe , leo wako ccm pengine kesho waweza kuwa ukawa

ccm sio part ya miili yao

Ni kuwaombea salama na waache kuungana na madhalimu kuifisidi nchi
 
Mungu wajalie afya njema. Nikweli hata mimi binafsi siipendi ccm ila Deo na wenzake ni ndugu zetu tuwaombee wawe salama. Kama ni ushindani ni kwenye kura sio kuombeana vifo. Serikali tunaomba vyombo vya uokoaji viende na tupate taarifa za hao ndugu zetu.
 
Tatizo hawa Maficiem wanatukana sana mpk wanmpa Mungu Kero. Wanawaita wenzao maiti Mara sijui wagonjwa....Mungu hapendi ujue....angepanda JK tu akutane uso kwa uso na King Lion

MBAVU ZANGU JAMANI, HIYO YA JK IMENIACHA HOI,,,, NAOGOPA KUCOMMENT, JAPO I AM PRO MABADILIKO (CHADEMA) LAKINI NAWAOMBEA SANa WAWE SALAMA NAE UYU KING LION AWE MAENEO YA MBALI NA ENEO HILO LA TUKIO
 
Mungu wajalie afya njema. Nikweli hata mimi binafsi siipendi ccm ila Deo na wenzake ni ndugu zetu tuwaombee wawe salama. Kama ni ushindani ni kwenye kura sio kuombeana vifo. Serikali tunaomba vyombo vya uokoaji viende na tupate taarifa za hao ndugu zetu.

Nimekupata mchungaji.
 
Mungu aepushie mbali na kuzilinda roho zao binafsi namkubali sana FILIKUNJOMBE na siku zote amekuwa mbunge wangu wa mfano regardless chama anachotoka.

Mungu amlinde mwanamageuzi Deo Filikunjombe na baba Jerry silaha ambaye ni rubani
 
Iyo mbuga ina faru maana faru huwa hawaogipi moto watakuwa walisaidia kuuzima pia hawana huruma kwa binaadam !!!!
 
Chombo chenyewe ndo hiki hapa kabla hakijawekwa hayo mastika ya CCM.

dkk.jpg
 
TatIzo hawa jamaa kila kitu wanaiga ukawa wenzenu hawana njaaa wananunua chopa mpya nyie kila sehemu mnataka piga deal angalieni sasa mnacheza na maisha yenu wenyewe kuweni waungwana jamani khaa
 
Hivi kama nyinyi serikali mnaiyendesha vilivyo kuna haja mfanye kampeni kweli au ni kutumia pesa za walipa kodi bila sababu
 
Back
Top Bottom