Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Moto ni ule ule! Na ajali ni ajali Oct 25 kichinjio kiko pale paleisije ikawa ni kutafuta tension ya kura za huruma.
nakumbuka jk alidondoka pale jangwani kumbe ilikuwa kupima tension ya watu..
mbowe naye akuwa nyuma katika hilo...(respect sana kamanda Mbowe kipindi kile unawania Urais)
Huyo zito na January wote majuhaa wanasema waliyopata ajali wako salama wao wamewasiliana nao vp! Au ndy wazee wa kukanushaWanasema abiria wote wako salama.. According to Makamba na Zitto..
Basi tuone hata picha zao au hiyo helikopta isije ikawa tunachezewa mchezo..
Kwani Si Unaona Dodoma Tumejenga Nini?
Wanasema abiria wote wako salama.. According to Makamba na Zitto..
Basi tuone hata picha zao au hiyo helikopta isije ikawa tunachezewa mchezo..
Hizi ni pumba zilizopitiliza,, kuwa rubani wa helicopter hakuhitaji kadi ya chama bro,,, hiyo ni taaluma ambayo mtu husomea na kufuzu vizuri ndio hupewa leseni ya kurusha.... Tafuta maisha kwa nguvu yoyote uandae maisha ya familia yako na sio kuwa na wivu ukiona mtu asiye sehemu ya familia yako akifanikiwa... Ungesoma shuleni kwa bidii na ukafaulu kwa kutumia kichwa chako vizuri na ukawa mhangaikaji kwa maana ya kujitambua mapema basi ungejua nini cha kusomea na sio hiyo fani uliyosomea na kuwa na chuki na wenzio,,, mlaumu mzazi wako kwa kutopambana na kukuandalia maisha vizuri,, kama hiyo haitoshi usikate tamaa bado muda unao pambana tunza fedha,, heshimu maisha yako,, usiendekeze ulevi na umalaya, pambana kimaisha bro tunza na iheshimu hata shillingi,, ukizipata jaribu kuandaa Future ya wanao na nduguzo,,, vipi unabustani hata ya nyanya katika umri wako hii bro!!! au ndio unategemea mshahara ufanye kila kitu?? Au ndio Wale mnaotaka utajiri bila kufanya kazi na kumuomba mungu...???
Mmejenga kumbi ya Billion 50 angali mita 500 kutoka hapo unaingia Makulu ambako hakuna upatikanaji wa maji na watoto wa makulu shule ya msingi wanakaa chini..
Jamani,yaani naogopa kupokea taarifa mbaya,kuna kitu wanaficha hapa,helkopiter imelipuka ikiwa na watu ndani,dah im smelling bad newz here
Huyo zito na January wote majuhaa wanasema waliyopata ajali wako salama wao wamewasiliana nao vp! Au ndy wazee wa kukanusha
ndiyo maana nasisitiza kuwa hii ni kutafuta ''tension'' kupata kura za huruma...
Hvi yule aliyetuita malofa na wapumbavu Yuko wapi?
We gamba skia a baki kwenye mada! Tambua serikali yako hii ya ccm ni ya kingese sana inapokuja suala la uokoaji hawawezi
Si ajabu ukashanga sahvi wanaomba msaada kutoka south afrika ili waje wafanye rescue. ...Serikali ya kijinga sana hii
Mtoto wako akikaa chini ni upumbavu wako. Miti yote hii huioni?
Jamani asije akawemo humo tu mzee wa kutuita malofa na wapumbav heheheYeye ndo ilitakiwa awemo kwenye Chopa hiyo
Mtoto wako akikaa chini ni upumbavu wako. Miti yote hii huioni?
Mtoto wako akikaa chini ni upumbavu wako. Miti yote hii huioni?
Ukiwaambia hivo wanachukia na watasema ni siasa
Mtoto wako akikaa chini ni upumbavu wako. Miti yote hii huioni?
Kumbuka humo ni hifadhi ya wanyama wakaliUsikariri ikilipuka itakuwa na watu ndani, inawezekana kabisa wakati inalipuka crue wakawa walisharuka wote.