babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Mungu awaponye ndugu zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok...najua baba yao pia ni rubani na kaka yao mkubwa Fredy ni rubani pia....nilidhani mzee keshastaafuAnaitwa Capt. Willium Silaa ni babake Jerry Silaa
Nadhani baada ya Mwandosya kususa na Mwakyembe kushindwa kuwa na ushawishi Nyanda za Juu kusini, walitaka kumtumia huyu bwana ili wapate kura huko maana ukimtoa Prof Mwandosya sidhani kama kuna mwingine mwenye ushawishi pande za kule. Nadhani ndiyo akapewa mpaka hiyo Helikopta atembee pande zote huko kumnadi Magufuli.. Sijui kwanini na yeye aliingia kwenye mkenge wa wahuni safari hii..
Kwe page ya wananchi blog wanadai wamepona
Lake moja tu kupiga ban watu basi.
Kapt Silaa atakuwa kaka wa ex Meya wa Ilala nini? Tulisoma wote utotoni na nilisikia kawa rubani..
Mungu awape uzima..