TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Mkuu naamini umeongea hivi tu kwa sababu ya ushabiki ,kwani Chopa Mpya sh ngapi ???

Hehehehe Kwahiyo Chadema Zile Chopa Ni Zao??
Tuweke Ushabiki Pembeni Tu,kama Hata Ofisi Za Pale Ufipa Tu Mmeshindwa Kuzifanyia Utaratibu Kweli Mnakuja Kununua Chopa??
 
Kama nchi hii ina wachunguzi wa masuala ya mahusiano ya jamii za kitanzania uchaguzi huu uwaonyeshe ni jinsi gani Watanzania wanaelekea kusambaratishwa na tawala mbovu zisizo wajibika kwa mjibu wa katiba.Kinachoonekana hapa ni rangi za bendera za vyama na watu wamesahau rangi ya bendera ya Taifa yenye alama ya umoj
 
Mbona hatupati habari za uhakika kuhusiana na bwana Deo kuhusiana na tukio hilo?
 
Hehehehe Kwahiyo Chadema Zile Chopa Ni Zao??
Tuweke Ushabiki Pembeni Tu,kama Hata Ofisi Za Pale Ufipa Tu Mmeshindwa Kuzifanyia Utaratibu Kweli Mnakuja Kununua Chopa??

Kaa kimya nyinyi mnaiba pesa zetu sisi walipa kodi ndo mnaendesha chama chenu na ndo maana tunahasira na nyinyi mnakaa mnatetea ugali wenu eeh huu mwaka hamtoki nawaambia na ndo mtajua uchungu wa kodi
 
wale itv ile habari kuwa yuko salama waliitoa wapi? kama wanatumika kwa maslahi ya kisiasa wakae sawa muda unakuja!
 
lakin mbona ccm wanazo helkopta kibao?
wanashindwaje kuwafuata hukohuko polin?
daa! siasa nyie!
 
jana itv taarifa ya habari ya saa 5 usiku walitangaza kuwa mh yuko salama.

mnao tumia huu usafiri wa visaitoti jaribuni kuhakiki ubora wake. bei za kuzikodisha huko kenya tuna ambiwa ni kichekesho affordable.
 
Hehehehe Kwahiyo Chadema Zile Chopa Ni Zao??
Tuweke Ushabiki Pembeni Tu,kama Hata Ofisi Za Pale Ufipa Tu Mmeshindwa Kuzifanyia Utaratibu Kweli Mnakuja Kununua Chopa??

Sijasema chopa ni za CHADEMA mkuu ,halafu reasoning yako ya Leo ni tofauti Sana na ya Jana ....kwa hiyo kutokufanya renovation ndio maana kwamba hauna hela ?? Priority ya chadema sasa hivi ni ipi ?? Halafu sikujua pia kumbe mkiwa na maoffice mazuri ndio viongozi wazuri pia wanapatikana Hivi unajua ni Wa kina Nani waliojenga hizo office za Ccm mnazojigamba nazo ??
Vile vile CHADEMA wanaenda ikulu watajenga tu makao makuu ya chama
Hujanijibu swali chopa sh ngapi ??
 
--->kunakijana kapita selous anadai amewakuta jamaa na cubs wao wameshiba balaa!....we mola epusha majanga mwaka huu.
 
Hizi taarifa hazieleweki, mara yuko hai, ooh.. yuko salama.., mara helikopta ililipuka...! Sasa tumwamini nani?
 
Hapa ndipo tunatakiwa tuone uimara wa serikali na hasa wizara husika. Haiwezekani toka jana jioni mpaka sasa ivi tuelezwe tu kuwa ilipoangukia Chopa hapafikiki.. So???
Mwaka huu mengi sana yanawafanya mshindwe uchaguzi mkuu. Shame upon u gambaz....!!
 
Kaa kimya nyinyi mnaiba pesa zetu sisi walipa kodi ndo mnaendesha chama chenu na ndo maana tunahasira na nyinyi mnakaa mnatetea ugali wenu eeh huu mwaka hamtoki nawaambia na ndo mtajua uchungu wa kodi

Nyie Kwani Ruzuku Mnavopokea Mnajua Ni Kodi Ya Nani?
Chopa Na Nyie Mmenunulia Nini Kama Na Nyie Sio Wezi?
Lets be Rational Mkuu,kweli Hivi Inaingia Akilini Mnanunua Chopa Afu Mnaishi Nyumba Ya Kupanga,tena Isiyojielewa Kama Kweli Hii Ni Nyumba Ya Chama Kikuu Cha Upinzani?
 
Back
Top Bottom