TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

R.I.P Deo and all who died in that crash. Nimeumia moyoni sana, poleni familia zote za wafiwa.
 
Kanone kauli yako ya Mungu hajakutendea haki kumchukua Deo Filikunjombe umekosea. Biblia ina sema hapo mwanzo kulikuwa na Neno, nae Neno alikuwpo kwa Mungu, naye Mungu alikuwa ndio hilo Neno. Sehemu nyingine inasema Mungu akaweka umri wa Mtu kuishi duniani, akasema itakuwa miaka 80, ila akizidi hapo atakuwa anamuiba Mungu. Sasa kufa kabla ya hapo ni shetani sio Mungu tena. Uombe toba kwa Mungu.

Yaap....vifo vya mapema simpango wa MUNGU
 
.......kweli kizuri hakidumu, member mwenzetu huyu wa jamii forum, japo hukutumia jina lako halisi...nikikumbuka mada zako za MMU NA Jukwaa la siasa na ushauri wako Deo Filikunjombe siamini kama haupo tena.

BWANA AMETOA NA KUTWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.
 
Always I appreciate your comments!

Mungu Baba wa rehema uliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, baba tunaomba rehema juu ya nchi yetu, tunaomba toba juu ya taifa letu, yamkini hatujasimama ktk zamu zetu basi Mungu tusamehe pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako.
Baba wa mbinguni tunatubu kwa ajili ya nchi yetu, tunatubu juu ya viongozi wetu, Baba mambo yanayotokea katika nchi yetu ni mazito na magumu kwetu, kwa ajili zetu za kibinadamu hatuwezi, Mungu simama na ujidhihirishe ktk taifa letu hasa kipindi hiki kigumu tulichonacho
Mungu tunaomba utuvushe salama ktk uchaguzi huu, tunaomba amani yako itawale ktk uchaguzi, nchi iendelee kuwa na amani ili tuendelee kupata nafasi ya kukuabudu mfalme wa amani.
Mungu wa rehema tunaumizwa mno na vifo vinavyoendelea kutokea ktk nchi yetu kwa watu tunaowafahamu na tusiowafamamu pia, Mungu tunakemea pepo la mauti ktk jina la Yesu, tunaliseta kuzimu, basi Mungu tunaomba ukapate kuonekana na kujidhihirisha, tunaamini utakwenda kututendea sana sawa na mapenzi yako.
Yote haya tunayaomba kupitia jina Yesu mwana wako aliye hai, Amen....!

Amen kubwa
 
Nimejiuliza sana Deo ni wapi amepata jeuli ya pesa za kukodi chopa wakati jimboni kwake hana upinzani wa kumtisha? uchaguzi wa Ludewa ulikuwa ni kukamilisha ratiba tu lakini mbunge ni Deo je ni kwa nini atumie gharama zote hizi wakati yeye anatoka familia masikini? bado najiuliza sana hili swali.
maswali magumu sana
 
Hivi mnataka kumdanganya Nani?? Hivi Filikunjombe ana pesa gani ya kukodi chopa na kuirusha mwezi mzima bila msaada wa Chama??
kuna MTU anaitwa msukuma naye alikuwa NA helkopta ambayo inadaiwa alipewa NA mzee wa mvi,NA sasa kanyanganywa,sijajua filiku naye aliipatia wapi
 
Always I appreciate your comments!

Mungu Baba wa rehema uliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, baba tunaomba rehema juu ya nchi yetu, tunaomba toba juu ya taifa letu, yamkini hatujasimama ktk zamu zetu basi Mungu tusamehe pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako.
Baba wa mbinguni tunatubu kwa ajili ya nchi yetu, tunatubu juu ya viongozi wetu, Baba mambo yanayotokea katika nchi yetu ni mazito na magumu kwetu, kwa ajili zetu za kibinadamu hatuwezi, Mungu simama na ujidhihirishe ktk taifa letu hasa kipindi hiki kigumu tulichonacho
Mungu tunaomba utuvushe salama ktk uchaguzi huu, tunaomba amani yako itawale ktk uchaguzi, nchi iendelee kuwa na amani ili tuendelee kupata nafasi ya kukuabudu mfalme wa amani.
Mungu wa rehema tunaumizwa mno na vifo vinavyoendelea kutokea ktk nchi yetu kwa watu tunaowafahamu na tusiowafamamu pia, Mungu tunakemea pepo la mauti ktk jina la Yesu, tunaliseta kuzimu, basi Mungu tunaomba ukapate kuonekana na kujidhihirisha, tunaamini utakwenda kututendea sana sawa na mapenzi yako.
Yote haya tunayaomba kupitia jina Yesu mwana wako aliye hai, Amen....!

  • paperclip.png
    Attached Thumbnails



    pembuzi

    Send PM

  • user-online.png
    Mkumba Vana

    Today 03:38
    JF Senior Expert MemberArray


    Join Date : 10th May 2013
    Posts : 367
    Rep Power : 501
    Likes Received105
    Likes Given117


    [h=2]
    icon1.png
    Re: TANZIA: Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza mai[/h]
    Pole nyingi sana kwa wafiwa na naamini ni watanzania wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa tumefiwa! Tuzidi kumuomba mwenyezi Mungu atuepushe na ajali hizi za mfululizo katika kipindi hiki cha kuelekea tarehe 25 Oktoba.

    Poleni sana ndugu, jamaa, marafiki na wana ccm wote!​





    Send PM




 
RIP Deo, RIP Mzee Slaa, RIP wote waliokuwa ktk chopa!
 
.......kweli kizuri hakidumu, member mwenzetu huyu wa jamii forum, japo hukutumia jina lako halisi...nikikumbuka mada zako za MMU NA Jukwaa la siasa na ushauri wako Deo Filikunjombe siamini kama haupo tena.

BWANA AMETOA NA KUTWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.

Akitumia jina gani hapa JF plz
 
Kuna taarifa zinatoka Kalenga hivi zinaukweli gani? kama kuna mtu ana source ndani ya Kalenga hebu apige simu.
 
Huyu mbuge alikuwa ni mchapa kazi sana! Kazi ya mola haina makosa
 
nawapa pole sana wana Ludewa...ameanza Mchungaji Christopher Mtikila kutoka Kijiji Cha Milo....na sasa ni Deo Filikunjombe kutoka mitaa ya Mlangali ni juma baya sana kwa wana Kusini kwani hata Profesa Bangu wa Tumaini Iringa nae hatunae.. kwa wale wanaomfahamu au walisoma Tumaini University IringaKazi ya Mungu haina makosa
 
Back
Top Bottom