Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I trust nobody. Yani walimwengu ukiwafikiria unaishia kuwa disappointed.
Busy with my life, fullfilling my five prayers a day, nikijisikia kulia namlilia Allah. Bora wali maharage kuliko walimwengu.
wewe uliwaza tu, wengine walijaribu hata kujiua kabisa...Katika hayo unayopitia ulishawahi kuwaza au kutamani ulale usiamke tena, ulale usingizi wa milele? au ushawahi jifungia ndani siku nzima unalia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikujibu hvyo? Bas niwie radhiSiku moja unakumbuka nilikuuliza jinsia yako ukasema hujui? Ni kwa sababu ya avatar yako.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna kipindi nilikua namlilia Mungu kwa nini Sina marafiki
Akanipa mmoja ameninyoosha nimekoma
kiukweli tunapitia changamoto nyingi katika maisha ila sijawahi kufikia hatua ya kutamani kulala nisiamke tena kulia rafiki sisi huwa tunajikaza ngumu kuona chozi mwisho wa siku tunamuachia mungu anayeruhusu yatokee yaliyomema na mabaya kwetu.Katika hayo unayopitia ulishawahi kuwaza au kutamani ulale usiamke tena, ulale usingizi wa milele? au ushawahi jifungia ndani siku nzima unalia?
hahaha ww naye bwana..kila nikikuona nacheka aise na comments zako bas ngoj nidelete comment yangu..unajua sikujua km ana jambo zito asije kwazika zaidi ..sorryMane nakuomba usicheke yasije yakakukuta na wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikujibu hvyo? Bas niwie radhi
Kuna kipindi nilikua namlilia Mungu kwa nini Sina marafiki
Akanipa mmoja ameninyoosha nimekoma
Rafiki nakumbuka ilikuwa ni sigara labda kama siku hizi umeacha kuvuta!.....tulikuwa marafiki tunaopendana na kuaminiana sana!!Rafiki, sigara hujawahi ninunulia labda pepsi baridi.
Ahsante mami, nami nkimaliza kusali huwa naamani sana, nimekuwa mzembe sana kipindi hiki, ahsante kunikumbusha kwenye wengi hakuharibiki jambo.I trust nobody. Yani walimwengu ukiwafikiria unaishia kuwa disappointed.
Busy with my life, fullfilling my five prayers a day, nikijisikia kulia namlilia Allah. Bora wali maharage kuliko walimwengu.
[emoji849][emoji849][emoji849] tala tenaSawa, nilikusamehe siku ile ile maana nilijua una stress za Tala.
Eeeh.[emoji849][emoji849][emoji849] tala tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tungekuwa tunaweza kutuma voice note humu ningetuma kicheko changu!
Ujue mane wewe ni mwanamke mwenye nyota ya pekee, sijui kwa kua jina lako linaanza na pesa maana kila nikikupa like lazima kesho yake niokote pesahahaha ww naye bwana..kila nikikuona nacheka aise na comments zako bas ngoj nidelete comment yangu..unajua sikujua km ana jambo zito asije kwazika zaidi ..sorry
Kuna kipindi nilikua namlilia Mungu kwa nini Sina marafiki
Akanipa mmoja ameninyoosha nimekoma
Weee tuma tu
Ila rafiki amejua kunitenda yaani
Halafu hajajua kama nimemshtukia tukionana namchekea kama kawaida
Rafiki wa kweli ni Mungu, unamlilia shida zako hakusimangi, mabaya yako hayatangazi.
Hawa mashosti kila lako utalikuta mtaani.