Hepi basidei

Happy belated birthday!
 
Hizi bethdei siku hizi hazina chipsi dume huwa hazitubariki kabisa wastaafu wa jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ngoja nikafanye mapenzi na K Vant nijuie namna ya kukuwish pepi pesdei kibabe.

Hizi biashara za kuzaliwa weekend zina vishawishi na majaribu sana ya kumshinda shetani
 


Hahaha we mzee una mambo sana 😅😅😅😅
 
Basi picha ako ni vile tuu hukunong’onezwa ukweli, sio kwa kufanana huku hehehehhee

Heri ya kuzaliwa, ulikufanikiwa kukata keki au kiepe ilitosha?

Sikula keki mkuu usiku tulisong Ugali
 
Basi picha ako ni vile tuu hukunong’onezwa ukweli, sio kwa kufanana huku hehehehhee

Heri ya kuzaliwa, ulikufanikiwa kukata keki au kiepe ilitosha?
Zimebaki siku mbili za kufanya maombi na toba huku mlimani. Nikishuka huku nakushukia kama mwewe. Ole wako nikukute without... biology itatia timu moja kwa moja kwenye via vya uzazi... Kuna hatari nakatenda miujiza kama ya mzee Mengi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…