sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Acha ubahili wa bando, fungua video ina MB 1 tuKwa hio wanapita uchi
Nimefungua Mzee wangu Mimi bhahili ndio nna asili ya IndiaAcha ubahili wa bando, fungua video ina MB 1 tu
Wameachiwa boxer chafu kwani hakuna maji hata ya kunywa hata ya kufulia boxer hakunaKwa hio wanapita uchi
IDF sasa wamenza Usanii sawa ni jeshi lenye nguvu.Utaratibu ni ule ule, lazima wavue nguo kabla ya kukubaliwa kujisalimisha, Ni hatua za kiusalama kwa tahadhari ya kwamba kuna mabomu ya kujitoa muhanga huwa yanashonwa kwenye nguo.
They did rejoice on 7th October right?
View attachment 2838046
Jeshi la IDF litapata Deals nyingi sana kwenye mafunzo ya namna ya kupigana na Magaidi, mteja wa Kwanza ni ChinaIsrael wamewaweza mnoo magaidi safari hii, yaani ukijisalimisha tu, lazima uvue nguo na kamera ikurekodi. Hamas wachache waliobakia nina uhakika huko waliko wanajutia mnoo tukio la 7 oktoba.
Raia wote wa Gaza ni HamasIDF sasa wamenza Usanii sawa ni jeshi lenye nguvu.
Lakini je na huyo jamaa mwenye likitambi hicho ni Hamas?
π€Jeshi la IDF litapata Deals nyingi sana
Kwani Hamas wote wana matumbo ya Nge? Uliwachunguza lini? Kwani huoni anasalimisha silaha?IDF sasa wamenza Usanii sawa ni jeshi lenye nguvu.
Lakini je na huyo jamaa mwenye likitambi hicho ni Hamas?
Maigizo pia watu husalimishaKwani Hamas wote wana matumbo ya Nge? Uliwachunguza lini? Kwani huoni anasalimisha silaha?
Israel wamewaweza mnoo magaidi safari hii, yaani ukijisalimisha tu, lazima uvue nguo na kamera ikurekodi. Hamas wachache waliobakia nina uhakika huko waliko wanajutia mnoo tukio la 7 oktoba.
Hii sentensi yako inanikumbusha mbali sisi vijana wa zamani kwenye vita ya Iraq na usa ....msemaji wa saadam hussein....google comical AliMaigizo mnayaweza, Israel inateketea.
Hamas hawafi.
Ok mtaalamMaigizo pia watu husalimisha