Heri nusu shari kuliko shari kamili: Magaidi wa Hamas wanaendelea kuweka silaha chini na kujisalimisha kwa jeshi la Israel.

Heri nusu shari kuliko shari kamili: Magaidi wa Hamas wanaendelea kuweka silaha chini na kujisalimisha kwa jeshi la Israel.

Hii sentensi yako inanikumbusha mbali sisi vijana wa zamani kwenye vita ya Iraq na usa ....msemaji wa saadam hussein....google comical Ali
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
images.jpeg
 
Israel wamewaweza mnoo magaidi safari hii, yaani ukijisalimisha tu, lazima uvue nguo na kamera ikurekodi. Hamas wachache waliobakia nina uhakika huko waliko wanajutia mnoo tukio la 7 oktoba.
Who wrote this script ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hamas piga izo kenge mungu ibariki hamas mashoga safari hii yameingia kingi
 
Jeshi la IDF litapata Deals nyingi sana kwenye mafunzo ya namna ya kupigana na Magaidi, mteja wa Kwanza ni China
Nikujazie hili. F-15I, the Tactical High-Energy Laser, and the Arrow, zote ni tender za idf duniani. Anakula tenda miaka na miaka. Na baadhi ya maeneo USA anaingia, IDF Wanakula gwanda za marekani au UN wakiwa na bendera za marekani. Kiufupi hawa waisrael ndio kipaumbele maswala ya intelligence haswa mabomu na kurun mitambo ya kijeshi ya nchi hizo.
Kama ushawahi kanyaga pale au kugoogle border ya us na mexico, rio grande, wamejaa sana haawa jamaa wa israel.
 
Utaratibu ni ule ule, lazima wavue nguo zote (kasoro boxer) kabla ya kuomba kujisalimisha, Ni hatua za kiusalama kwa tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.

They did rejoice on 7th October right?

View attachment 2838046
hata ikiwa unawapeda sana waizraeli nenda na ukweli unatakakusema wapalestina wote ni askari wapiganaji wa hamas jibu hapana kuna raia na ndio hao wanasema ni askari wa hamas wamewakamata propaganda ni nyingi laiti ungekuwa pale huenda tukaamini kwa maana hiyo sio kweli
 
Hollywood kazini. Hali tete mtatunga kila aina ya uongo. Super fakeView attachment 2838088
The individual in the image is widely recognized in Beit Lahia. Identified as Munir Qeshta, residents in the town affirm that he is a civilian with no affiliations to any faction.

The footage below is weird: how does the IOF strip them while permitting them to carry weapons?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mtu aliye kwenye picha anatambulika sana huko Beit Lahia. Akitambulika kama Munir Qeshta, wakaazi katika mji huo wanathibitisha kuwa yeye ni raia asiye na uhusiano na kikundi chochote.

Picha hapa chini ni ya kushangaza: Je! IOF huwavuaje huku ikiwaruhusu kubeba silaha?
 

Attachments

  • IMG_7665.jpeg
    IMG_7665.jpeg
    60.2 KB · Views: 1
Exactly! This propaganda is sickening and so is the western media that fails miserably at their job every day.
Kanunue vocha ya jero ujaze MB ucheki video,
 
Back
Top Bottom