๐๐๐Hii sentensi yako inanikumbusha mbali sisi vijana wa zamani kwenye vita ya Iraq na usa ....msemaji wa saadam hussein....google comical Ali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Hii sentensi yako inanikumbusha mbali sisi vijana wa zamani kwenye vita ya Iraq na usa ....msemaji wa saadam hussein....google comical Ali
Who wrote this script ๐๐Israel wamewaweza mnoo magaidi safari hii, yaani ukijisalimisha tu, lazima uvue nguo na kamera ikurekodi. Hamas wachache waliobakia nina uhakika huko waliko wanajutia mnoo tukio la 7 oktoba.
Nikujazie hili. F-15I, the Tactical High-Energy Laser, and the Arrow, zote ni tender za idf duniani. Anakula tenda miaka na miaka. Na baadhi ya maeneo USA anaingia, IDF Wanakula gwanda za marekani au UN wakiwa na bendera za marekani. Kiufupi hawa waisrael ndio kipaumbele maswala ya intelligence haswa mabomu na kurun mitambo ya kijeshi ya nchi hizo.Jeshi la IDF litapata Deals nyingi sana kwenye mafunzo ya namna ya kupigana na Magaidi, mteja wa Kwanza ni China
Mpaka watoto wachanga daaahRaia wote wa Gaza ni Hamas
Umerusha komboraJeshi la IDF litapata Deals nyingi sana kwenye mafunzo ya namna ya kupigana na Magaidi, mteja wa Kwanza ni China
Bila kusahau wale wa bonyokwaRaia wote wa Gaza ni Hamas
Exactly! This propaganda is sickening and so is the western media that fails miserably at their job every day.Hollywood kazini. Hali tete mtatunga kila aina ya uongo. Super fakeView attachment 2838088
Halafu yote vibamia.Utaratibu ni ule ule, lazima wavue nguo zote (kasoro boxer) kabla ya kuomba kujisalimisha, Ni hatua za kiusalama kwa tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
They did rejoice on 7th October right?
View attachment 2838046
hata ikiwa unawapeda sana waizraeli nenda na ukweli unatakakusema wapalestina wote ni askari wapiganaji wa hamas jibu hapana kuna raia na ndio hao wanasema ni askari wa hamas wamewakamata propaganda ni nyingi laiti ungekuwa pale huenda tukaamini kwa maana hiyo sio kweliUtaratibu ni ule ule, lazima wavue nguo zote (kasoro boxer) kabla ya kuomba kujisalimisha, Ni hatua za kiusalama kwa tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
They did rejoice on 7th October right?
View attachment 2838046
The individual in the image is widely recognized in Beit Lahia. Identified as Munir Qeshta, residents in the town affirm that he is a civilian with no affiliations to any faction.Hollywood kazini. Hali tete mtatunga kila aina ya uongo. Super fakeView attachment 2838088
Kanunue vocha ya jero ujaze MB ucheki video,Exactly! This propaganda is sickening and so is the western media that fails miserably at their job every day.
Basi sema tu hao ni wanajeshi wa Idf ili imani yako iimarike zaidiHakuna mwanajeshi wa hamas hapo hata mmoja hao ni kama wale wa juzi waliopakiwa kwenye lori wakafungwa vitambaa usoni .
Sasa watawachomaje waigizaji wao. Sawa na sisi yule idd amin aliyeigiza filam tumchome moto!!!Wayachome moto tuu humo kwenye mahandaki, wasijipe kazi ya kuyasafirisha.
Sasa watawachomaje waigizaji wao. Sawa na sisi yule idd amin aliyeigiza filam tumchome moto!!!Wayachome moto tuu humo kwenye mahandaki, wasijipe kazi ya kuyasafirisha.