Heri ya kuzaliwa Jakaya Mrisho Kikwete, nguli wa diplomasia na mwanajeshi uliyeiva

Nakubaliana Jakaya ndio alikuwa mwana demokrasia na mwana diplomasia wa kweli na wakati wake upinzani ulifanya vizuri sana lakini sio Magufuli na Samia.
 
Kufa tu kama una hasira na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka , chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Mama ndio chaguo la watanzania kuongoza muhula wa pili.na anatosha kufanya kazi hiyo.ameonyesha uwezo na utayari wa kulibeba Taifa letu.ametuvusha nyakati ngumu mpaka hapa tulipo.
 
Kikwete ndiyo Rais pekee wa Tanzania ambae ni Mwanajeshi wa kweli.

Hiyo rikodi njema ys kuwa Mwanajeshi kabla ya kuwa Rais bado ni yake pekee baada ya Marais sita wa Tanzania, watano wao kutokuwa wanajeshi mpaka walipokuwa MaamiriJeshikwa Urais wao.
 
Hivyo alivyo ruhusu vilikuwa vimekatazwa kufanyika kwa mujibu wa katiba??
 
Ndio maana alikuwa Mvumilivu sana huyu Mzee.Mungu aendelee kumbariki sana.Ndio maana unaona pamoja na kustaafu kwake lakini bado Dunia inaendelea kumtumia katika majukumu mbalimbali
 
Maigizo matupu na upumbavu mtupu.

Watu walitia hasara bilion 11.5

Adhabu ni faini milion 5 na kifungo miaka 3

Na bado wakabadilishiwa kifungo kutoka jela miaka 3 hadi kufagia hospitali.

Msifikiri tumesahau na sio kila mtu anatokea Kolomije.
Kiongozi pekee aliyewafunga Jela Waziri wa Fedha na Waziri wa Madini kwa Ufisadi

Happy birthday JK 🌹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…