Heri ya kuzaliwa Jakaya Mrisho Kikwete, nguli wa diplomasia na mwanajeshi uliyeiva

Kumbukumbu nzuri sana Mwashambwa hata Boni yai kapata dhamana Leo tarehe 07_10_2024, Hongera Kikwete, hongera Mwashambwa kwa kuliona hili pia la Boni yai!
 
Sio
Sio mamaKatiba ndio inaruhusu kufanya mikutano na maandamano,katiba hiyo hiyo ndio iliompa madaraka, katiba hiyo hiyo unaweza kupata uteuzi wa kukimbiza mwenge wewe.
 
Heri ya siku ya kuzaliwa mzee JK Kikwete...bado ninakukubali na nitaendelea kukumbuka mazuri ulioyafanya enzi za utawala wako japo mengine ilikuwa ni sehemu ya changamoto katika uongozi mfano la TEGETA ESCOW....Pia hata mama yetu DKT Samia Suluhu Hassani tunaimani naye asilimia 100 naamini hili la PPP atakuwa nalo makini lisije likaleta changamoto kama lile la ESCROW.
 
Hakuna kitu hapo chenga tu.
 
Mfanano wa msoga na kizimkazi ni kama ifuatavyo
(1)Wote ni watekaji.mfano ulimboka kipindi Cha msoga na kipindi Cha kizimkazi wamepotea wengi kama ilivyotolewa na TLS
(2)Wote hawana huruma na rasilimali za taifa.msoga aliuza TRc Kwa wahindi na likajifia na akauza gesi yetu ya mtwara Kwa wachina ambapo sisi wachina ndiyo wanaiuzia tanesco ndiyo maana hatuoni nafuu yeyote ya umeme kushika bei.the same to kizimkazi expelled Masai from their ancenstors land for benefit of Arabs.
(3)Wote walitumia muda mwingi kusafiri kwenda nje ya Nchi kuliko kutatua kero zinazowakumba Wana chi wa Tanzania.2025 tuchukue hatua kuondoa Hawa mchwa wa Nchi.
 
Wewe hunaga akili siku zote.
 
Heri ya mfanano wa siku ya Kuzaliwa Mhe Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutimiza miaka 74 Rais mstaafu wa awamu ya 4 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanadiplomasia nguli,Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema akupe maisha marefu na sia njema.
 
Hakuwa na makuu wala baya na mtu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ninayo furaha kubwa sana Moyoni Mwangu kumtakia heri ya kuzaliwa mzee wetu Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya Nne,Mwanajeshi mstaafu...
Jk ni kipenzi Cha wengi ni mtu mwungwana saana ,nakumbuka wakati alipokuwa amefika mwisho wa kipindi Cha utawala wake aliwahi kuulizwa na mwandishi mmoja wa habari kwamba Watanzania wakukumbuke kwa lipi?

jibu lake lilikuwa short and clear ,kwamba kwenye utawala wake demokrasia ilishamiri saana kwamba mtu anaweza kusimama kwenye jukwaa na kusema Rais gani huyu ,kwamba kwa nchi zingine hayo maneno ungetamka ukiwa ndani ya handaki.hahah Huyo ndiyo Jk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…