Heri ya kuzaliwa Jakaya Mrisho Kikwete, nguli wa diplomasia na mwanajeshi uliyeiva

Mzee Kikwete Rais wetu mstaafu alikuwa anajali sana maisha ya watu.alikiwa anaguswa na shida za watu.ndio maana alikuwa mwepesi sana katika kusaidia watu
 
HBD Jk. Allah akujalie maisha marefu👃👃
 
Mwanzo wa uharibifu wa raslimali za taifa ulianzia awamu yake hata ufisadi wa kutisha (Escraw, Mtwara gas etc)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…