Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kweli twin, wana reasons zao. Au ukute wametingwa tu kama BAK alivyotupoteaga kipindi kile lolMwenzangu! Kaka alikuwa poa sana yule.
Ghafla kapotea!
Lazima yupo humu kwa ID nyingine... Sipendi hii tabia kama nini.
Kama hivi tumezoeana halafu mtu anabadili ID...dah!
Anyways, huenda wana sababu zao za msingi.
Huhuhu my twin from Umasaini, I'm speechless.Muda wote huu nilikuwa nawaza nikuambie nini katika siku yako hii ya kuzaliwa
My dearest HS,
Happy birthday my twin from another mother.
Uwe na maisha marefu yenye furaha,mafanikio na afya tele.
Lakini kubwa kuliko yote umpate mwenzi bora atakayekufanya ujione mwanamke kamili,mwanamke mwenye furaha ya kudumu.
Nakumbuka Ustaadh wangu alinifundisha Du'a bora kuliko zote ni kumuombea mja apate mwenzi bora.
Nami nakuombea iwe hivyo mpendwa.
Wish you best of lucky
Nifah loves you
![]()
Enjoy [emoji8] [emoji320] [emoji324] [emoji323] [emoji322] [emoji307]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenzangu BAK ilibaki kidogo tu tufanye matanga [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85].
Mmmh una familia Mia tatu mama manyaunyau. Amen, nashukuru mpenzi wanguKwa niaba ya familia Rogie tunapenda kukutakia kheri katika siku yako hii muhimu.Tunakuombea maisha marefu yenye baraka tele
Awww pops I missed you. Jamani najisikiaje furaha sasa, najionaje napendwa. Nawapenda mno wazazi wangu, na namshukuru mno Mungu kwa ajili yenu. Mungu na anisaidie nizidi kuwa kabinti kenu amazing siku zote, na niwe the best mom to my kids. Nawapenda sanaHBD our best Douta of the world..
We ndo zawadi ya pekee kabisa katika maisha yetu..
Unatupa furaha kila tukikuona,Tunanenepa bila hata kula.
Unatufanya tujione matajiri wakati hata bank account hatuna
Kifupi tunajivunia kuwa wazazi wako..
Maombi yetu ni uendelea kuwa mutoto musuri hivyo hivyo na Mungu akujalie uje kuwa Mmama bora baadae..
Wazazi wako tunakupenda sana..Barikiwa
cc atoto
Thank you so much supermarket"Heaven Sent"
Sent from heaven.
Sent from heaven.
Now you can wait your whole life wondering
When it's gonna come or where it's been.
You may have got your heart broken
A few times in the past
Never last strong as it used to,
Don't feel as good as it used to (before)
And all the things you used to say,
Things you used to do, went right out the door
Oh no more, will you be the one
That's what you tell everyone around you
But you know they've heard it all before
What more can you say
When love won't let you, walk away
And you can't help who you love
And you find yourself giving it away
When you think you're in love
[CHORUS:]
I wanna be the one who you believe
In your heart is sent from (sent from heaven)
There's a piece of me who leaves when you gone
Because you're sent from (sent from heaven)
I wanna be the one who you believe
In your heart is sent from (sent from heaven)
There's a piece of me who leaves when you gone
Because you're sent from (sent from heaven)[emoji450] [emoji450] [emoji441] [emoji445]
--Happy birthday heaven sent--
Huhuhu thanks much dear Yamakagashi. You just keep on counting your blessings, Merry ChristmasBirthday is the day when you feel like a celebrity, because everyone’s attention is paid to you. Happy birthday, my shiny star! Heaven Sent
Na vile tupo karibu na Christmas
Wacha nikuimbie kidogo
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Prosepero año y felicidad
I wanna wish you a Merry Christmas
I wanna wish you a Merry Christmas
From the bottom of my heart
Thank you sweet mankahappy to you hs
Darling Jesus, I'm truly grateful for this. Mamaafacebook thank much for honoring me, I truly appreciate. Mungu wangu wa mbinguni na akubariki mno. Love you so so muchHappy birthday my role model on jf Mungu akupe Kila lililojema akuepusha Na mabaya I love you Heaven Sent