Hahahaaaaa!!! Yaani kumbe ndiko ulikokwenda!!! Rogie kuja ukamate mtu ugoni.Hahahaha.......tushaachana na huyo mother ako atoto nilitaka awe kamchepuko kangu lkn nikaona hana muelekeo bado anampenda baba yako acha tu nirudi kwa mama watoto Honey Faith
Una nyota ya punda kubebeshwa mizigouuuh! hatari sana, kwani huyo Honey Faith naye yupo na kijeba tayari? mimi nahisi nina damu ya pimbi ya kukataliwa.
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Dota una maneno wewe!! Yaani nimecheka kwa nguvu.
Mwee mimi ni mjumbe tu sasa kosa langu nini hapo ? "Kukushindilia" ni neno gumu sanaYatakushinda na kukushindilia dogo!!!
Umetumwa????
Mama nimezaliwa hapo Ocean road ,nikakulia Kariakoo ,karibu tu njoo kabisa na bendi ,mmejifunga vibebwe mkisindikizwa na nyimbo za Issa MatonaMjumbe wa nani? Nani kakutuma?
Unajua mwanaume kusutwa ni fedheha!!! Haya jichanganye.
Asante sana mchepuko wanguPole sana aiseee!! Mke wa mtu huyo.
Haha born town eehMama nimezaliwa hapo Ocean road ,nikakulia Kariakoo ,karibu tu njoo kabisa na bendi ,mmejifunga vibebwe mkisindikizwa na nyimbo za Issa Matona
Teh teh kitambo sana halafu bi mkubwa wako anataka kunitisha na kusutwa sijui ,WoiiiiHaha born town eeh
Analeta ugomvi wa mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya udongo tehTeh teh kitambo sana halafu bi mkubwa wako anataka kunitisha na kusutwa sijui ,Woiiii
Teh teh ngoja namsubiria mimi nimefunga zangu msuli napata ghahawa hapa ...ngoja ajilipue tuAnaleta ugomvi wa mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya udongo teh
simoooooooooooooWavulana wa dar bwana!! Kaazi kweli kweli.
Umbea wao,kusutwa wao,vigodoro wao.
Cheeeee!!!!