Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

Screenshot_20191029-075054.png
HAPAKAZITU
TANZANIA KWANZA MENGINE BAADAE
STY BLSD MR PRESDIENT
 
Happy birth day, the presindent of United Republic of Tanzania. I appreciate your hard work for this national.
 
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa mzee baba,Mungu aendelee kukulinda katika afya njema,akulinde na wenye roho za husda.[emoji373][emoji373][emoji373][emoji374][emoji374].
 
...HAPPY BIRTHDAY MY PRESIDENT...

Siku kama ya leo tarehe 29/10/1959 alizaliwa Rais wetu mpendwa wa JMT Mh Dkt John Pombe Joseph Magufuli mjukuu wa mzee NYIHANGA a.k.a JEMBE ULAYA katika kijiji cha RUBAMBANGWE sasa kijiji cha MLIMANI katika wilaya ya CHATO mkoani KAGERA sasa mkoa wa GEITA.Maana ya RUBAMBANGWE ina maana ya mwambaji wa chui na CHATO ni nyoka aina chatu.

29/10/2019-29/10/1959=60 Years Old

This is special day for special person and special cerebration for our country,you are a person who deserves the best,you are growing older.You are the one who i understand your past,believes in your future and accept you just the way you are-even.This proof that mother nature sometimes win the battle with father time.

The whole Tanzanian might want to send to you a special greetings but I am among of the first persons if not the first to wish you
AMAZING HAPPY BIRTHDAY MY PRESIDENT.
(share na wengine)

Vitalis Konga
Njombe Mjini
FB_IMG_1572325030028.jpeg
 
Kumbe chuma kazaliwa mwezi mmoja na Rais ‘dhaifu ‘!
 
Happy birthday mzee, ustaafu sasa 60 si ndio umri wa kustaafu
Ahaaa wapi, acha kwanza tuboost na kikombe cha babu, hadi miaka 80 huko ndio itakuwa vizuri kung'atuka
tapatalk_1567993480702.jpg
 
Back
Top Bottom