Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
AminKabisa
Mungu azid kutubariki
Msalimie bro wako π
Nisubirie father's day au sio π
Subiri siku yenu fazaNisubirie father's day au sio π
I love you kenzySalamu zangu zinaenda kwa hawa.
Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.
ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.
Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!
Evelyn Salt
Uko wapi..?
Miss Natafuta
i love you so much!.
Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!
FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!
Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..π
thanksI love you kenzy
Asante bestie Bujibuji Simba Nyamaume hii siku ya wanawake haiwezi kukamilika bila nyie wanaume wa shoka, kwa hiyo nawapa kwanza pongezi maana ndio mnatufanya sisi tuwe wanawake na tusimame kwenye nafasi zetuSkylar heri ya siku ya Wanawake. Nimekumiss hadi nimekumislead
Ni kweli unateseka na mapenziπππAsanteeeππ
Achana na huyo mzushiπNi kweli unateseka na mapenziπππ
Asante sana rafiki yangu.
Sio mara ya kwanza kusema hivi πππAchana na huyo mzushiπ
Mkuu unadanganywa ogopa matapeli hakuna mume anatesa tamu yake!Kwakweli hapo lazima uteseke. Yaani anakutesa ili apate content. ππ€£