Hesabu zinambeba Dkt. Mwigulu Nchemba

Hao ulio wataja hawawezi kukupa sifa za ukweli watakudanganya ili upotee ili mambo yao yafanikiwe
 
Mara nyingi nimesema kwamba kama mnamshutumu Mwigulu Kwa sababu za udhaifu binafsi ya ujivuni,kiburi na jeuri sawa ila linapokuja swala la kile ambacho Dunia inakiamini ambacho ni namba basi Yuko sahihi na ame outperform.

Kiongozi makini hawezi mtoa Waziri wa Fedha ambae amesimamia uchumi vizuri kisa Majungu.

Nakumbuka Aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa South Africa Travor Manuel kama sijakosea kipindi Cha Thabo Mbeki alisimamia uchumi vizuri na alipotolewa Kwa visa vya Kisiasa masoko ya hisa yaliyumba na Hadi Leo hii South Africa Ina struggle na umeme hawana..

So binafsi naomba Mama asisikilize kelele za wajinga maana kwanza hawatoi options na hoja zao ni hizo za zisizo na mashiko.

Rais Samia tembea na Mwigulu Hadi mwisho ila huko private muonye tuu apunguze ukali wa maneno hata kama Kuna watu wanamuudhi na Bahari nzuri Rais Samia sio mtu wa mihemko kama aliyepita.
 
Hao ulio wataja hawawezi kukupa sifa za ukweli watakudanganya ili upotee ili mambo yao yafanikiwe
Kama mambo gani hayo Yao Ili yafanikiwe? Pili wanaoweza kukupa ukweli wa kitakwimu ni kina nani? Nitajie
 
It doesn't matter, serikali lazima iangalie namna ya kufanya ili kuwapunguzia raia wake mzigo wa kupanda gharama za maisha, wananchi wanaungua jua kujitafutia kidogo ambacho kinaishia kwenye bei kubwa ya bidhaa zinazopanda kiholela, hawa hawali data za IMF.
 
Mkuu share softcopy kama unayo.
 
Mkuu share softcopy kama unayo.
Hicho kitabu kiufupi kinaelezea kwamba Serikali ikishirikiana na makampuni, mataasisi na mifumo mingine huandaa taarifa za uuongo yaani fallacy Kwa ustadi mkubwa na huwatumia watu wanaolipwa sana nk Ili kuelezea kwamba mambo mazuri na pia huzusha tarahuki na majanga nk Ili tuu kufanikisha malengo Yao.
 
Kama ni mjomba wako hapo ni sawa ila kama wewe ni chawa mwambie akuongezee mshahara maana unafanya kazi kubwa mno kumtetea.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…