HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Abdul Razaq Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.

Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.

Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.
Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016 , ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.

TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabiusa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha udhibitisho kwamba wameanza kulipa deni.

Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Tulieni ndio kwanza tunaanza, ndio kwanza tumeanza 🤣🤣🤣🤣
 
ila sio mbaya acha wazilipe kwa maana walizikopa..,wengi hawataki kuvumilia miaaka mitatu bila mkopo hata kama mzazi au mlezi anauwezo.,ninasoma bila mkopo ila life lina enda vizuri tu,cha msingi ni kupunguza tamaa,na fake life.
 
Nitafungua biashara kwa TIN namba ya mama yangu alieko kijijini kwisha habari Yao.
 
Hadi mi 5 kuisha, naamini kila kitu kitakua fyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hata hivyo wamechelewa sana mimi mwenyewe ni mdaiwa tuwaunge mkono kwenye hili jamani, kweli huko vyuoni watu wanateseka sana, ifikie hatua kila anaeyeomba mkopo apate, turejeshe tulichokopeshwa!
Hiyo mikopo ingefanywa Kama hisani au zawadi KWA wote walio fika CHUO KIKUU

Na wote wanao daiwa wasamehewe.

Tubuni NJIA nzuri za kimapato hii nchi Ni tajiri Sana.

Serikali ya Tanzania iki jipanga tutasomesha bure watoto wetu mpk chuo Kikuu.
 
Naona wamekaribia kunidaka. Na watakaponipata na kuanza kunikata mkwanja mrefu kama sehemu ya marejesho ya mkopo wao NITAACHA KAZI MARA MOJA.

Nasisitiza:BORA NIACHE KAZI YA KUAJIRIWA.Na nitakapoingia uraiani nimeshabuni njia nitakazotumia kuwakwepa hata wasinibaini huko.
 
Abdul Razaq Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.

Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.

Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.
Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016 , ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.

TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabiusa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha udhibitisho kwamba wameanza kulipa deni.

Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Hatutapeleka pesa benk.
Mpaka waweke kiwango ambacho kinalipika.

Tano te....

Na watoe retention fee
 
Back
Top Bottom