HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni

Aisee kama ni ivo na ada ipungue kama kawaida mana nasoma mda mfupi, moto utawaka wanatuanza hawa watu
 
Wengine tunapewa 553,000 mkuu
 
Nawaonea huruma watoto wa wanyonge wanaosoma zama hizi...unaweza kuta kwenye marejesho ya mkopo hizo pesa hazitapunguzwa popote. Ndo maana nikasema hiyo loan board ifutiliwe mbali, utaratibu urudishwe kama zamani kwa wizara ya elimu kutoa ufadhili/ siyo mikopo kwa wanachuo waliodahiliwa vyuo vikuu vya umma pekee.
 
Direct cost udom Ni 750 kwa siku na tulilipa ya mwaka mzima vipi hizo siku amabazo hatutakuwepo chuoni pesa inakwenda wapi?
 
Direct cost udom Ni 750 kwa siku na tulilipa ya mwaka mzima vipi hizo siku amabazo hatutakuwepo chuoni pesa inakwenda wapi?
Mkuu hebu piga picha Kisha utume hicho kipengere elekezi kinachoelekeza kuwa direct cost kwa siku Ni 750 ..

Na unasoma Udom ipi wewe Ambayo direct cost inalipwa kwa Siku..
Wasomi wa Sasa bhn [emoji16].
 
Mkuu hebu piga picha Kisha utume hicho kipengere elekezi kinachoelekeza kuwa direct cost kwa siku Ni 750 ..

Na unasoma Udom ipi wewe Ambayo direct cost inalipwa kwa Siku..
Wasomi wa Sasa bhn [emoji16].
Direct cost Ni hiyo kwa siku inajumlishwa inalipwa yote unapofanya usajili kuanza mwaka mpya wa masomo. Likizo ya March nayo hua inamalipo kwa wanaobaki chuoni malipo Ni hayohayo.
 
Duduction lazima iwepo boss Na inashauriwa Mnufaika wa mkopo atunze kumbukumbu za pesa anazopewa na loan board ili ikitokea Deni la mwaka mzima limekuwa kubwa kuliko pesa halisi aliyopewa aweze kudai haki yake katika ofisi husika.

Tatizo Wasomi wa Sasa wanajali kutanua tu boom halafu wanajisahau kukagua muenendo wa Deni lao.
 
Habari zenu wanajanvi.

Ni dhahiri kuwa wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali wameishapokea pesa zao za chakula na Malazi. Ila kimetokea kitu cha ajabu sana kwa pesa imekuja pungufu mno. Hivi kweli mwanafunzi hana haki et. Inauma sana
 
Naskia ni 365000.


Hapo MTU huna hela ya field na unaenda insemister field mkoa fulani na utajua Maisha ni nin?
 
Mbn kama wamekataa hii taarifa, kama ni kweli basi ni hatari
 
That are the effects of ccm government
 
Habari zenu wanajanvi.

Ni dhahiri kuwa wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali wameishapokea pesa zao za chakula na Malazi. Ila kimetokea kitu cha ajabu sana kwa pesa imekuja pungufu mno. Hivi kweli mwanafunzi hana haki et. Inauma sana
Ccm oyeee!!, nyie wasomi October 28 msifanye makosa
 
Wewe ulitaka bei gani? tena ushukuru kuipata hiyo pesa ya bure kuna wenzio wanasoma kwa shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…