Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Wengine tunapewa 553,000 mkuuKama ilivyo kwenye sheria za bofi ya mikopo, kila mnufaika atapewa kiasi kinachoendana na siku alizokaa chuoni.
Hapo awali kabla ya Corona, boom moja ilikuwa 505000 hadi 52000 lakini kwa mfumo huu itakuwa pungufu.
Je, kama boom limepunguzwa, vipi kuhusu ada na direct cost? Vilipunguzwa kulingana na siku za masomo?
Direct cost udom Ni 750 kwa siku na tulilipa ya mwaka mzima vipi hizo siku amabazo hatutakuwepo chuoni pesa inakwenda wapi?Hivi mbona wasomi wa sasa wa kitanzania mmekuwa wajinga namna hii!!
Nikweli mmefikia hatua ya kushindwa kujua application ya hesabu za(+,-,Ć na Ć·)?.
Mkataba upo wazi kabisa pesa ya chakula na maradhi utalipwa kwa siku utakazokuwepo chuoni kimasomo na Wala siyo kwa semester hivyo kama siku zikipungua unategemea pesa isipungue? Na Kama zikiongezeka unategemea pesa isiongezeke?
Kuhusu suala la directed cost(,otherfees) na pesa ya ada hizi haziwe pungua sabab ya kupungua kwa Siku Maana zenyewe hazilipwi kwa Siku Bali zinalipwa kwa muhula au semester,, hivyo kitu pekee Cha kupunguza hizi pesa nikuondoa semester na Wala siyo kitu kingine..
Swali je Ni chuo gani ambacho kimefuta semester na bado kinawalipisha wanafunzi wake ada?
Mwisho: Tumieni akili zenu kung'amua mambo siyo manakuja kuonyesha Ujinga wenu huku mitandaoni hivyo vichwa mlivyo navyo siyo vya kufugia nywele pekee.
Wasomi wa Tanzania mnatia aibu Sana.
Mkuu hebu piga picha Kisha utume hicho kipengere elekezi kinachoelekeza kuwa direct cost kwa siku Ni 750 ..Direct cost udom Ni 750 kwa siku na tulilipa ya mwaka mzima vipi hizo siku amabazo hatutakuwepo chuoni pesa inakwenda wapi?
Direct cost Ni hiyo kwa siku inajumlishwa inalipwa yote unapofanya usajili kuanza mwaka mpya wa masomo. Likizo ya March nayo hua inamalipo kwa wanaobaki chuoni malipo Ni hayohayo.Mkuu hebu piga picha Kisha utume hicho kipengere elekezi kinachoelekeza kuwa direct cost kwa siku Ni 750 ..
Na unasoma Udom ipi wewe Ambayo direct cost inalipwa kwa Siku..
Wasomi wa Sasa bhn [emoji16].
Duduction lazima iwepo boss Na inashauriwa Mnufaika wa mkopo atunze kumbukumbu za pesa anazopewa na loan board ili ikitokea Deni la mwaka mzima limekuwa kubwa kuliko pesa halisi aliyopewa aweze kudai haki yake katika ofisi husika.fafanua na ulipaji wa hilo deni... na ile jumla ya pesa wanazoonyesha kwenye account ya muhusika...
je kama kwenye account inaonyesha una jumla ya 3459000 na jumla ya pesa ya kula ikiwemo...
na kwa situation iliyotokea hilo deni linakuwa hivyo hivyo kamili ama kunakuwa na deduction ya hiyo pesa walioipungiza..????
Sent using Jamii Forums mobile app
Pita pembeniMada zenu za vyuoni,pelekeni kwenye magroup yenu ya whatsApp na umoja wenu vyuoni.
Pita pembeni
Ccm oyeee!!, nyie wasomi October 28 msifanye makosaHabari zenu wanajanvi.
Ni dhahiri kuwa wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali wameishapokea pesa zao za chakula na Malazi. Ila kimetokea kitu cha ajabu sana kwa pesa imekuja pungufu mno. Hivi kweli mwanafunzi hana haki et. Inauma sana
Andika tu kiswahili maana unaandika kiingereza kichafu, this/That ni singular, these/those plural,na umesena effects maana yake nyingi/pluralThat are the effects of ccm government