HESLB: Yatoa mikopo 100% kwa wanafunzi 872 zao la TASAF regardless masomo waliohitimia|ashukuriwe Rais Samia kwa hii sera inayoinua watoto wa masikini

HESLB: Yatoa mikopo 100% kwa wanafunzi 872 zao la TASAF regardless masomo waliohitimia|ashukuriwe Rais Samia kwa hii sera inayoinua watoto wa masikini

MKOPO !!!! Kumbuka ni Mkopo sio Grant..., alafu unajisifia kwa watu wachache kupata Mkopo 100% na Sio wote..., Kama Hii ni nguvu kazi ya kesho na huu ni ufunguo wa maisha na pesa hizo wanatoa wananchi kwenye Tozo na Makodi iweje wote waliomaliza wanaotaka kusoma wasikopeshwe ?

Na unakopesha watu wakimaliza hakuna guarantee ya kupata chochote let alone kurudisha hayo madeni !!!

Bado unasema Elimu bure wakati unawasaidia watu huku kwenye kulipa elfu 20 (ambazo watu wanaweza kuzipata) na kuwanyima Mkopo huku kwenye Milioni Mbili na zaidi !!!

Huu kama sio utapeli bali duniani hakuna utapeli
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Sera ya bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ( HESLB ) dhidi ya wanaopewa mkopo 100% ni wale tu wanachukua masomo ya Sayansi kama Udaktari,

Wale wanaochukua masomo yasiyo ya Sayansi hupewa mkopo chini 100%

Mambo ni tofauti kwa awamu ya Sita chini ya Rais ya Samia Suluhu Hassan ameagiza watoto wote waliotoka nyumba zinazohudumiwa na TASAF wapewe mkopo 100% hata kama wanakwenda kusoma masomo yasiyo ya Sayansi.

Namkopo huo wa 100% wapewe kabla hawajafika chuoni, that's Mama.

👇🏿
👇🏿

______________________________
The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has announced a list of 872 students who will receive 100 percent loans regardless of the subjects they have been selected to join.

That number is for applicants who are certified to be from poor households that are serviced by the Community Development Fund (Tasaf).

The statement was issued on Wednesday, September 15, 2021 by the board’s executive director, Abdul-Razaq Badru during the signing of a loan agreement for applicants from poor households.

TASAF HESLB: 782 Students To Get 100 percent of Loan

Badru said the students will receive loans before starting classes to reduce inconvenience. He said the program is sustainable and they have already put in place a system to monitor them from primary schools to form six.

“We have developed a joint system with our colleagues in the Ministry of Education and Tasaf, we will be identifying students early so their application will have its priority,” said Badru. You can read also below


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA View attachment 1942133
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 
Mama hapa kasaidia sana
Wahenga tunajua shida ya kupata kidogo /kukosa kabisa au kuchelewa kupokea hizo pesa.
Watoto wa hizo familia hata nauli ni tatizo bora Mama amekuja na option hii.
 
Mama Samia kiboko aise, Tumuungeni mkono,
Mikopo ni ya kibaguzi sana hakuna hata sababu ya kuchekelea wale watoto wa wastaafu ambao wazazi wao waliwasilisha private masikini kwa kujima wanakamatwa kupewa mikopo Mungu anawaona watasoma tu kwa taabu hadi wanamaliza ila watafurahia kwa vile watakuwa hawadaiwi mikopo hiyo ya kibaguzi
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Sera ya bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ( HESLB ) dhidi ya wanaopewa mkopo 100% ni wale tu wanachukua masomo ya Sayansi kama Udaktari,

Wale wanaochukua masomo yasiyo ya Sayansi hupewa mkopo chini 100%

Mambo ni tofauti kwa awamu ya Sita chini ya Rais ya Samia Suluhu Hassan ameagiza watoto wote waliotoka nyumba zinazohudumiwa na TASAF wapewe mkopo 100% hata kama wanakwenda kusoma masomo yasiyo ya Sayansi.

Namkopo huo wa 100% wapewe kabla hawajafika chuoni, that's Mama.

👇🏿
👇🏿

______________________________
The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has announced a list of 872 students who will receive 100 percent loans regardless of the subjects they have been selected to join.

That number is for applicants who are certified to be from poor households that are serviced by the Community Development Fund (Tasaf).

The statement was issued on Wednesday, September 15, 2021 by the board’s executive director, Abdul-Razaq Badru during the signing of a loan agreement for applicants from poor households.

TASAF HESLB: 782 Students To Get 100 percent of Loan

Badru said the students will receive loans before starting classes to reduce inconvenience. He said the program is sustainable and they have already put in place a system to monitor them from primary schools to form six.

“We have developed a joint system with our colleagues in the Ministry of Education and Tasaf, we will be identifying students early so their application will have its priority,” said Badru. You can read also below


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA View attachment 1942133


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Mikopo ni ya kibaguzi sana hakuna hata sababu ya kuchekelea wale watoto wa wastaafu ambao wazazi wao waliwasilisha private masikini kwa kujima wanakamatwa kupewa mikopo Mungu anawaona watasoma tu kwa taabu hadi wanamaliza ila watafurahia kwa vile watakuwa hawadaiwi mikopo hiyo ya kibaguzi
Nani kabaguliwa mkuu?
 
Nimecheka Sana mikopo wakiwa kwao hahahaha

USSR
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Hongera Mhe Rais Samia
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Sera ya bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ( HESLB ) dhidi ya wanaopewa mkopo 100% ni wale tu wanachukua masomo ya Sayansi kama Udaktari,

Wale wanaochukua masomo yasiyo ya Sayansi hupewa mkopo chini 100%

Mambo ni tofauti kwa awamu ya Sita chini ya Rais ya Samia Suluhu Hassan ameagiza watoto wote waliotoka nyumba zinazohudumiwa na TASAF wapewe mkopo 100% hata kama wanakwenda kusoma masomo yasiyo ya Sayansi.

Namkopo huo wa 100% wapewe kabla hawajafika chuoni, that's Mama.

👇🏿
👇🏿

______________________________
The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has announced a list of 872 students who will receive 100 percent loans regardless of the subjects they have been selected to join.

That number is for applicants who are certified to be from poor households that are serviced by the Community Development Fund (Tasaf).

The statement was issued on Wednesday, September 15, 2021 by the board’s executive director, Abdul-Razaq Badru during the signing of a loan agreement for applicants from poor households.

TASAF HESLB: 782 Students To Get 100 percent of Loan

Badru said the students will receive loans before starting classes to reduce inconvenience. He said the program is sustainable and they have already put in place a system to monitor them from primary schools to form six.

“We have developed a joint system with our colleagues in the Ministry of Education and Tasaf, we will be identifying students early so their application will have its priority,” said Badru. You can read also below


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA View attachment 1942133
 
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
 
MKOPO !!!! Kumbuka ni Mkopo sio Grant..., alafu unajisifia kwa watu wachache kupata Mkopo 100% na Sio wote..., Kama Hii ni nguvu kazi ya kesho na huu ni ufunguo wa maisha na pesa hizo wanatoa wananchi kwenye Tozo na Makodi iweje wote waliomaliza wanaotaka kusoma wasikopeshwe ?

Na unakopesha watu wakimaliza hakuna guarantee ya kupata chochote let alone kurudisha hayo madeni !!!

Bado unasema Elimu bure wakati unawasaidia watu huku kwenye kulipa elfu 20 (ambazo watu wanaweza kuzipata) na kuwanyima Mkopo huku kwenye Milioni Mbili na zaidi !!!

Huu kama sio utapeli bali duniani hakuna utapeli
Daah
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Sera ya bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ( HESLB ) dhidi ya wanaopewa mkopo 100% ni wale tu wanachukua masomo ya Sayansi kama Udaktari,

Wale wanaochukua masomo yasiyo ya Sayansi hupewa mkopo chini 100%

Mambo ni tofauti kwa awamu ya Sita chini ya Rais ya Samia Suluhu Hassan ameagiza watoto wote waliotoka nyumba zinazohudumiwa na TASAF wapewe mkopo 100% hata kama wanakwenda kusoma masomo yasiyo ya Sayansi.

Namkopo huo wa 100% wapewe kabla hawajafika chuoni, that's Mama.

👇🏿
👇🏿

______________________________
The Higher Education Student Loans Board (HESLB) has announced a list of 872 students who will receive 100 percent loans regardless of the subjects they have been selected to join.

That number is for applicants who are certified to be from poor households that are serviced by the Community Development Fund (Tasaf).

The statement was issued on Wednesday, September 15, 2021 by the board’s executive director, Abdul-Razaq Badru during the signing of a loan agreement for applicants from poor households.

TASAF HESLB: 782 Students To Get 100 percent of Loan

Badru said the students will receive loans before starting classes to reduce inconvenience. He said the program is sustainable and they have already put in place a system to monitor them from primary schools to form six.

“We have developed a joint system with our colleagues in the Ministry of Education and Tasaf, we will be identifying students early so their application will have its priority,” said Badru. You can read also below


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA View attachment 1942133
Mama Chapa kazi achana na maneno
 
Kama hayo ndio maelekezo ya Mh. Rais basi HESLB wanamhujumu mkuu wa nchi maana wapo wanaotoka kaya maskini tena wanufaika wa TASAF na niyatima wa mzazi mmoja hawajapewa mkopo mpaka wamekata rufaa. Wengine wenye sifa kama hizo wamepewa hata haifiki asilimia 40.
HESLB inamhujumu mkuu wa nchi
 
Back
Top Bottom