Hewa /upepo kutoka chini ya ardhi inaashiria nini?

Hewa /upepo kutoka chini ya ardhi inaashiria nini?

King Innocent

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
1,046
Reaction score
715
Wakuu habari za majukumu,
Ningie moja kwa Moja kwenye mada, miaka mitano ilopita mzee alikuwa anachimba shimo la choo, shimo lilipo fika futi nane hewa/upepo mkali ukawa unatoka chini ya ardhi, kwa wataalamu naombeni ufafanuzi je inaweza kuwa ni mkondo wa maji? ama ni ges au kunaaina fulani ya madini? Natanguliza shukrani zangu kwa ufafanuzi wako.
 
Wakuu habari za majukumu,
Ningie moja kwa Moja kwenye mada, miaka mitano ilopita mzee alikuwa anachimba shimo la choo, shimo lilipo fika futi nane hewa/upepo mkali ukawa unatoka chini ya ardhi, kwa wataalamu naombeni ufafanuzi je inaweza kuwa ni mkondo wa maji? ama ni ges au kunaaina fulani ya madini? Natanguliza shukrani zangu kwa ufafanuzi wako.
Kulikuwa na mwamba?

Je hiyo hewa ilikuwa na harufu yoyote?
 
Wakuu habari za majukumu,
Ningie moja kwa Moja kwenye mada, miaka mitano ilopita mzee alikuwa anachimba shimo la choo, shimo lilipo fika futi nane hewa/upepo mkali ukawa unatoka chini ya ardhi, kwa wataalamu naombeni ufafanuzi je inaweza kuwa ni mkondo wa maji? ama ni ges au kunaaina fulani ya madini? Natanguliza shukrani zangu kwa ufafanuzi wako.
Miaka 5 nyuma na hiyo hali imeendelea kutokea mpaka unatoa taarifa hii leo?
Scientifically kuna kitu kinaitwa "MINERALS DECOMPOSITION IN THE CRUST AND ITS CONSCIQUENCES ON EARTH SURFACE"
Naishia hapa, wajuvi watakuja kukuelezea na uwelewe kwinini hiyo hali inatokea muda wote huo, wewe na mzee wako mmekaa kimya tu.
 
Wakuu habari za majukumu,
Ningie moja kwa Moja kwenye mada, miaka mitano ilopita mzee alikuwa anachimba shimo la choo, shimo lilipo fika futi nane hewa/upepo mkali ukawa unatoka chini ya ardhi, kwa wataalamu naombeni ufafanuzi je inaweza kuwa ni mkondo wa maji? ama ni ges au kunaaina fulani ya madini? Natanguliza shukrani zangu kwa ufafanuzi wako.
kwani wewe ukitowa hewa inakuwa nini?

Gas hiyo kijana.

Hapo ni kufanyiwa utafiti tu, ijulikane ni gas ipi. Kuna zingine ni hatari sana kama hazijadhibitiwa.
 
Miaka 5 nyuma na hiyo hali imeendelea kutokea mpaka unatoa taarifa hii leo?
Scientifically kuna kitu kinaitwa "MINERALS DECOMPOSITION JN THE CRUST AND ITS CONSCIQUENCES ON EARTH SURFACE"
Naishia hapa, wajuzi watakuja kukuelezea na uwelewe kwinini hiyo hali inatokea muda wote huo, wewe na mzee wako mmekaa kimya tu.
Mkuu nilisha ripotisha kwa diwani wangu, hatukupata msaada, na hata Leo sijui niripoti kwa nani tupate msaada wa wataalamu, huwenda tunanyea utajiri.
 
Tunaipa dunia pacha za kutosha siku ikiamua kusambalatika itakuwa balaa inatobolewa kutafuta
Gesi
Mafuta
Madini
Na yenyewe kujitumbua kwa volcanos mwisho wa siku itakuwa balaa.(ANYWAY MSIOGOPE KWA SABABU KILA KITU KIPO KWENYE MOVEMENT YA DESTINATION YAKE)
 
Mkuu nilisha ripotisha kwa diwani wangu, hatukupata msaada, na hata Leo sijui niripoti kwa nani tupate msaada wa wataalamu, huwenda tunanyea utajiri.
tafuta watu wa jeolojia walipeni watafanya survey watakuambieni. ama unaishi na hatari au faida bila kujua.
nb: kama ni kitu cha faida taifa la ukimani watakuambia wanataifisha eneo kwa faida ya serikali
 
kwani wewe ukitowa hewa inakuwa nini?

Gas hiyo kijana.

Hapo ni kufanyiwa utafiti tu, ijulikane ni gas ipi. Kuna zingine ni hatari sana kama hazijadhibitiwa

Tunaipa dunia pacha za kutosha siku ikiamua kusambalatika itakuwa balaa
Gesi
Mafuta
Madini
Na yenyewe kujitumbua kwa volcanos mwisho wa siku itakuwa balaa.(ANYWAY MSIOGOPE KWA SABABU KILA KITU KIPO KWENYE MOVEMENT YA DESTINATION YAKE)
Dah hatari, tulivo tena chini ya mlima Kilimanjaro nimetishika kidogo.
 
Back
Top Bottom