King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,046
- 715
- Thread starter
-
- #21
So tuendelee ku mute, tusije ππItakuwa natural gas hiyo. Mzee Wako aligundua utajiri mkubwa. Ikithibitika kama ni natural gas Kweli, wachina watakuja mbio kuichukua.
Ndio mkuu ,na upepo haujawahi punguaBado inatoka mpaka leo ? Yaani huu mwaka wa sita ?
chini ya mlima Kilimanjaro location gani?Dah hatari, tulivo tena chini ya mlima Kilimanjaro nimetishika kidogo.
Nitapataje msaada wa watafiti, gharama za kufanya utafiti ndio tatizokwani wewe ukitowa hewa inakuwa nini?
Gas hiyo kijana.
Hapo ni kufanyiwa utafiti tu, ijulikane ni gas ipi. Kuna zingine ni hatari sana kama hazijadhibitiwa.
Rombo , ukanda wa tambarare.chini ya mlima Kilimanjaro location gani?
Wajiolojia a.k.a wataaluma wamiamba.Maabara zipi zinahusika na uchunguzi? Na kama choo kinatumika itaezekana kufanya uchunguzi?
HowπDuh π mtakuwa mmemuumiza shetani
Mpaka ametoa damu ambayo ndio hy nyie mnaona n hewaHowπ
Kweli kabisa unaripoti hii kwa diwani π€π©Mkuu nilisha ripotisha kwa diwani wangu, hatukupata msaada, na hata Leo sijui niripoti kwa nani tupate msaada wa wataalamu, huwenda tunanyea utajiri.
Kweli kabisa unaripoti hii kwa diwani π€π©
Mkuu nilidhani nitapata msaada, na hata hivo hela za kuwalipa wataalamu sikua nayo.Kweli kabisa unaripoti hii kwa diwani π€π©
Kuna mawe mawe?Kuhusu mwamba sijui, ila hewa haina harufu yeyote.
Sasa mnaama unashindwa hata ku google?Mkuu nilidhani nitapata msaada, na hata hivo hela za kuwalipa wataalamu sikua nayo.
Maana yake ardhi inajambaWakuu habari za majukumu,
Ningie moja kwa Moja kwenye mada, miaka mitano ilopita mzee alikuwa anachimba shimo la choo, shimo lilipo fika futi nane hewa/upepo mkali ukawa unatoka chini ya ardhi, kwa wataalamu naombeni ufafanuzi je inaweza kuwa ni mkondo wa maji? ama ni ges au kunaaina fulani ya madini? Natanguliza shukrani zangu kwa ufafanuzi wako.
So tuendelee ku mute, tusije ππ
Je bado upepo unaendelea hadi leo na je choo hicho kinatumika?Dah hatari, tulivo tena chini ya mlima Kilimanjaro nimetishika kidogo.
No hakuna mawe Wala mwambaKuna mawe mawe?
Yes hadi Leo upepo upo, na shimo la choo linatumikaJe bado upepo unaendelea hadi leo na je choo hicho kinatumika?