Hewa /upepo kutoka chini ya ardhi inaashiria nini?

Kwani hujui kuna ulimwengu mwingine chini ya ardhi (Hollow Earth) .
Dunia ni kama pulizo ndani kuna ulimwengu mwingine na viumbe pia wanaishi humo
 
Mkuu nilisha ripotisha kwa diwani wangu, hatukupata msaada, na hata Leo sijui niripoti kwa nani tupate msaada wa wataalamu, huwenda tunanyea utajiri.
Hicho choo chenu kiko nchi gani mkuu?
Au Wilaya gani maana hujaweka wazi ili wadau tuje kunya hapo pia ufanye utafiti
 
Kwani hujui kuna ulimwengu mwingine chini ya ardhi (Hollow Earth) .
Dunia ni kama pulizo ndani kuna ulimwengu mwingine na viumbe pia wanaishi humo
Mmh nachojua nje ya Dunia ndipo kwenye uhai tu, ila ilo swala la upepo linanishangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…