KERO Hewa ya Mabibo Mwisho ni mbaya na chafu sana eneo la Stendi

KERO Hewa ya Mabibo Mwisho ni mbaya na chafu sana eneo la Stendi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kwema. Jamani kama Kuna watu wanavuta HEWA CHAFU hapa Dsm basi ni hawa watu wa mabibo mwisho hasa karbu na stendi Kwa ambao ambao hawajafika hili eneo Lina bwawa la maji taka Kuna mabwawa makubwa mawili aisee yanaleta harufu Kali sana sasa ukitembea maneno karbu na hata mabwawa stendi ya mabibo yote

Kuna harufu Kali sana haivumiliki lkn nashangaa pemben mama ntilie mishkaki inachomwa kama kawaida mi kama wameshazoea .

Mi nashauri serikali ijarbu kuweka miundo mbinu hata kuyatia Yale maji machafu kemikali Ili kupunguza harufu Kali mazingira Yale hayafai kwa makazi ya watu ndio chanzo Cha kuleta kipindu pindu.

Kuna mabwawa yapo mkono wa kushoto wakati unashuka kuikuta Barabara ya kigogo na ubungo. Yale mabwawa ni machafu na huenda mle mnatupwa Kila aina ya uchafu na wanyama waliooza
 
Kuna mabwawa yapo mkono wa kushoto wakati unashuka kuikuta Barabara ya kigogo na ubungo. Yale mabwawa ni machafu na huenda mle mnatupwa Kila aina ya uchafu na wanyama waliooza
Una uhakika chief au unabishiri tu maana mimi nakaa mabibo
 
Back
Top Bottom