Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Lete hiyo cease fire (truce) hapa tusome na kwamba hezbollah wameondoka,
Hezbollah juzi wameshangilia kwa ushindi mkubwa walioupata kutoka mazayuni ya kiyahudi na IDF, na wameionya sana Israel
Dah! Hiyo kitu mbona ipo wazi?? Andika/Google 'Cease fire Agreement Israel vs Hezbollah"
au tembelea NPR https://www.npr.org/2024/11/28/g-s1-36146/israel-hezbollah-lebanon-ceasefire-middle-east-crisis
Kuondoka kunakozungumziwa hapo usilinganishe na ile kutoka chumba hiki kuingia kinachofuata. Kuondoka ni mchakato ukizingatia ni pamoja na Wapiganaji na vifaa vyao vya kivita n.k.
 
Mimi sifanyii kazi vyanzo vya google search nilifikiri una document original ya makubaliano
 
Na Leo wamechapwa Tena. Baada ya mambo wao kulipuliwa .
 
Mimi sifanyii kazi vyanzo vya google search nilifikiri una document original ya makubaliano
Dah! Mkuu; kwani mm ni Israeli au Lebanon(Hezbollah) hadi niwe na document oroginal ya makubaliano? Huko nilikokuelekeza ni vyanzo vinavyoaminika. Mimi si lolote wala chochote na hainisaidii chochote kuwa na hiyo doc. Original.
 
Dah! Mkuu; kwani mm ni Israeli au Lebanon(Hezbollah) hadi niwe na document oroginal ya makubaliano? Huko nilikokuelekeza ni vyanzo vinavyoaminika. Mimi si lolote wala chochote na hainisaidii chochote kuwa na hiyo doc. Original.
Unapotezq muda wako na mtu aliyeamini kuamini anachokiamini regardless ni uongo.
Dini ni bangi!
 
 
Wewe ni mgonjwa
 
Mimi sifanyii kazi vyanzo vya google search nilifikiri una document original ya makubaliano
Waarabu wa Kwihaka mkishajua na tuneno twa kikafiri(kiingereza)kidogo huwa mnakuwa wabishi kuliko hata ubishi wenyewe.
 
Hakuna kipindi Hizbollah kapigwa Kama kipindi hiki.
 
Hakuna kipindi Hizbollah kapigwa Kama kipindi hiki.
Ameumizwa sana na hata kule alikokuwa akitegemea kupata misaada nako kumeumizwa. Anashauriwa atumie kwa kujibana sana hizo silaha chache alizobaki nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…