Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Ushabiki sometime unafanya akili zisifaanye kazi vzr. Hadi sasa pamoja na makubaliana ya kusitisha mapigano, Jeshi la israel liko ndani kusini ya Lebano na litakaa siku 60 ili kuondoa vifaa vya na Hezbullah waje hayo maeno. Sasa Ushindi ni Upi? Acheni kushabikia vita kuna watu hasa watoto wanakufa pasipo kujitakia.
Chunga sana maneno
Ni kweli mkuu. Watu cjui ni kwa nini wanaona ufahari kupotosha Taarifa.
Aidha hawajaisoma na kuielewa hiyo doc. ya Cease fire ila wanasema vya kwao jinsi wanavyojisikia. Hii sio sawa.
 
Lengo kuu la hezbollah lilikuwa ni kumshinikiza Israel aachane na vita ya Gaza kitu ambacho bado israel anaendelea kurusha mabomu gaza, hapa kafaeli hezbollah.

Hezbollah wamepoteza viongozi wao wote wakuu na waliobaki hawajulikani walipo kwa hofu ya kuuawa na Israel, hapa pia hezbollah wamefeli.

Lengo la Israel lilikuwa ni kuwatoa hezbollah mpakani, hapa israel kafaulu.

Sijajua mpaka sasa hezbollah wameshinda sehemu gani.
Hayo malengo ya kufeli hizbullah naungana na wewe ila hizbullah haija ondoka kusini ipo huko tokea kabla ya 2006 na itaendelea kua hivyo na ndio maana Jana wameripotiwa israhell kukiuka mkataba kwa kushambulia wanaodai hizbullah wanao jirundika huko mwisho paka alisema hataongea na hizbullah maana ni kujisalimisha kwao hatimae kaongea nao
 
Hezbollah ni pasua kichwa.
1. Wamesaini makubaliano bila kuyaelewa vizuri na kwa undani. Kwa mfano Hezbollah hatakiwi kuonekana kusini mwa mto Litani i.e. wamekubali kuhama na makorokoro yao kwenda Uhamishoni a.k.a. ukimbizini kaskazini ng'ambo ya mto mto Litani. Kwa lugha nyingine Israel amefanikiwa kumwondoa Hezbollah mpakani (kama lengo lilivyokuwa) mahali alipokuwa akipatumia kurusha makombora dhidi ya Israel.
2. Kimsingi Hezbollah haitambuliwi kama jeshi rasmi huko Lebanon kwa mujibu wa Cease fire Deal. Hezbollah ni kundi la kiharakati tuu na wamekatazwa kuishambulia Israel wakiwa ndani ya nchi/ardhi ya Lebanon na Jeshi rasmi la Lebanon (LAF)limepewa majukumu na mojawapo ni kuhakikisha hakuna mashambulizi yatakayotokea Lebanon dhidi ya Israel.
Yaani wewe uijue hili halaf hizbullah wasilijue moja hizbullah tokea sisi faya ya 2006 waliambiwa wasikae huko ila wapo huko na wataendelea kuwepo mpaka israhell waondoke kwenye ardhi za Lebanon mbili hizbullah kabla ya makubaliano haya wanajulikana na kujitanabahisha hivyo kwamba wao sio jeshi la lebanon labda wewe ndio ulikua hujui
 
Mhhh! Mkuu; hadi tunaongea hapa leo 29/11/2024 bado Hezbollah anaendelea kuhesabu vifo vya wapiganaji wake. Inakadiriwa ni 4000+ halafu ww unasema wako makini? Yani kuhesabu 1,2,3,4,5,6.......imekuwa ni shughuli kwake. Mwisho wa siku atatoa figure ya uongo.
Hizi figa zako wewe wakati figa jumla ya sirikali ya Lebanon na vyombo huru haijavuka elf tatu wewe hao afu nne umewahesabu wapi
 
Lengo la Israel lilikuwa kuisambaratisha HAMAS huko Gaza. Hapa tunasubiri ifike mwisho kwani bado ngoma inapigwa.
Lengo la Hezbollah kumsaidia/Kumuunga mkono ndugu yake HAMAS dhidi ya Israel lakini badala yake Hezbollah ndo kapondwa hadi amekubali cease fire. Hezbollah kashindwa hapo.
Hezbollah hakuweza kuwasaidia hata kidogo Walebanon dhidi ya kichapo kutoka IDF badala yake nchi na miundo mbinu vimevurugwa i.e. kuwepo kwa Hezbollah huko Lebanon imekuwa ni hasara kubwa mno.
Israhell kama ingeweza kuwasaidia wazayuni basi wazayuni wasingeikimbia kaskazini ya israhell kama walivyo kimbia walebanon kusini ndivyo walivyokimbia Waisrahell kaskazini kama ilivyo pigwa Beirut imepigwa tel avivu
 
Hayo malengo ya kufeli hizbullah naungana na wewe ila hizbullah haija ondoka kusini ipo huko tokea kabla ya 2006 na itaendelea kua hivyo na ndio maana Jana wameripotiwa israhell kukiuka mkataba kwa kushambulia wanaodai hizbullah wanao jirundika huko mwisho paka alisema hataongea na hizbullah maana ni kujisalimisha kwao hatimae kaongea nao
Kama Hezbollah ametia saini makubaliano ya cease fire hana budi kuondoka kama Israeli naye anavyoondoka. Inasikitisha mtu anatia saini i.e. anakubaliana na kilichoandikwa lakini hata hajui ni nini kilichoandikwa humo na ndicho amekubali kwa kutia saini yake.
Israel alikuwa sahihi kwani kwenye Mkataba imeandikwa IDF itaendelea na wajibu wake kuilinda Nchi/Taifa, Raia wa Israeli dhidi ya maadui, vitisho ikiwa ni pamoja na kuviondosha viashiria vya uvunjwaji wa Mkataba. Na hicho ndicho kiliwapata Hezbollah. Hawajui walisaini nini???? - wapowapo tuu.
 
Kama Hezbollah ametia saini makubaliano ya cease fire hana budi kuondoka kama Israeli naye anavyoondoka. Inasikitisha mtu anatia saini i.e. anakubaliana na kilichoandikwa lakini hata hajui ni nini kilichoandikwa humo na ndicho amekubali kwa kutia saini yake.
Israel alikuwa sahihi kwani kwenye Mkataba imeandikwa IDF itaendelea na wajibu wake kuilinda Nchi/Taifa, Raia wa Israeli dhidi ya maadui, vitisho ikiwa ni pamoja na kuviondosha viashiria vya uvunjwaji wa Mkataba. Na hicho ndicho kiliwapata Hezbollah. Hawajui walisaini nini???? - wapowapo tuu.
Yaani wewe ujue ila wao wasijue suala la kuilinda mipaka ya Lebanon dhidi ya israhell sio la kuandikwa kwenye sisi faya ndio lengo la kuanzishwa kwa hamas ukae ukilijua hili sisi faya imesainiwa na pande zote mbili hivyo maana yake wote kuna sehemu wamefeli na ndio maana wakakaa mezani israhell angeendelea kuamini vita kama vita warejesha watu kaskazini mbona akakaa kwenye Meza ya mazungumzo wakati awali walikataa
 
Tumia akili ndogo tu
Kwanini hujasikia Israel ikiwaambia raia wake warudi nyumbani
Alifikia hatua ya kuhama nchi ujue kachakazwa 😃
Haya taja kiongozi mkubwa wa Israel aliyeuwawa
 
Israhell kama ingeweza kuwasaidia wazayuni basi wazayuni wasingeikimbia kaskazini ya israhell kama walivyo kimbia walebanon kusini ndivyo walivyokimbia Waisrahell kaskazini kama ilivyo pigwa Beirut imepigwa tel avivu
Waisrael waliondoka kwa utaratibu lakini ni kutokana na mashamulizi ya maroketi ya Hezbollah.
Walebanon kusini walikimbizwa kwa Amri ya kuondoka kama ilivyokuwa inatolewa na IDF.
Beirut ilipigwa kwa kusambaratisha majengo, kuwalenga viongozi wa Hezbollah, kulenga miundombinu ya kiraia na ya kijeshi ile yenye mahusiano makubwa na Hezbollah, Maghala ya kuhifadhi silaha ya Hezbollah .n.k. ie yalikuwa ni mashambulizi yenye sababu au Malengo.
Huko Tel Aviv, Hezbollah alikuwa anarusha makombora eti alimradi tu yakaangukie Tel Aviv. Hakuna lengo. Na mengi ya makombora hayo yalidhibitiwa.
 
Nanukuu:
"Israeli alikuwa tangu mwanzo alikuwa anapambana na Hamasi,Hezbolah akaja kimsaidia Hamas alikanywa hakusikia na akasema haachi mpaka Gaza iwe huru,akapondwa na yeye Sasa amekubali kutulia licha kwamba Hamas wamekabwa bado"
Hiki kifungu 👆 👆 nimekipenda.
Hezbollah alidandia mtumbwi wa vibwengo. Akayatimba.
Ni kweli
 
Ukinipiga umenionea ukiniacha umeniogopa, hizbolah wanaleta mambo ya enzi zile utotoni
Watapigwa kweli. Mbona jana tu walizibuliwa walipokuwa wanajirundika cju wanajipanga ilhali kwenye Mkataba hilo limekatazwa.
Ila inachekesha sana kuona Hezbollah alijitakia vita kwa kumsaidia HAMAS lakini HAMAS haikumsaidia Hezbollah hata kidogo ilimwacha akabondwa hadi ameomba poo. Ni "undugu" gani huo? Dah!
 
Wamepunguza nini hakuna meli ya zayuni zinapita Red Sea 🌊 kule paka kaamua kusarenda kwa kuongea na hizbullah ambao awali alikataa katakataa kuongea nao hizbullah wapo kusini tokea 2006 makubaliano yaliwataka waondoke huko ila tumewaona wapo mpaka leo au unadhani kipengele cha kuondoka ni kipya
SAWA Sina muda wa mabishano kama wa kuelewa utaelewa mambo yapo wazi
 
Hakuna hata kijiji kimoja Lebanon kuna jeshi la Israel walijaribu underground wakashindwa wenyewe na kuumizwa kuliko kuumizwa na kuuliwa, ile mission ilifeli, Hizbollah sio jeshi linaloishi magorofani, uko magorogani waliuwa raia tu hezbollah wako makini
Unajipinga. Uliposema wanaondoa majeshi yaliyongia Lebanon halafu tena Israel haijaingia hata Kijiji kimoja, hayo majeshi yanaondoka wapi ambapo unasema hawajaingia
 
Yaani wewe uijue hili halaf hizbullah wasilijue moja hizbullah tokea sisi faya ya 2006 waliambiwa wasikae huko ila wapo huko na wataendelea kuwepo mpaka israhell waondoke kwenye ardhi za Lebanon mbili hizbullah kabla ya makubaliano haya wanajulikana na kujitanabahisha hivyo kwamba wao sio jeshi la lebanon labda wewe ndio ulikua hujui
Ok. Kwa hiyo inamaana Hezbollah bado kibri hakijawaisha? Kwa nini kutia saini makubaliano ambayo unajua fika kwamba hukubaliani na yale yaliyomo? Kwa hiyo Hezbollah anaonesha kwamba alichitaji ni kupata walau nafasi ya kupumua kutoka "Kukamatiwa chini" na IDF?
 
Yaani wewe ujue ila wao wasijue suala la kuilinda mipaka ya Lebanon dhidi ya israhell sio la kuandikwa kwenye sisi faya ndio lengo la kuanzishwa kwa hamas ukae ukilijua hili sisi faya imesainiwa na pande zote mbili hivyo maana yake wote kuna sehemu wamefeli na ndio maana wakakaa mezani israhell angeendelea kuamini vita kama vita warejesha watu kaskazini mbona akakaa kwenye Meza ya mazungumzo wakati awali walikataa
Hizi habari zihusuzo hizo pande mbili zimegubikwa na Ushabiki mwingi lakini Ukiisoma Hati ya makubaliano ya kusitisha vita ( sisi faya ) imebainishwa humo kwamba kusiweko na kujirundika/kujikusanya kijeshi Kaskazini mwa Israeli au Kusini mwa Lebanon. i.e. Eneo Mpakani mwa Israeli na Lebanoni.
 
Unajipinga. Uliposema wanaondoa majeshi yaliyongia Lebanon halafu tena Israel haijaingia hata Kijiji kimoja, hayo majeshi yanaondoka wapi ambapo unasema hawajaingia
mkuu waliingizwa kimtindo halafu wakabamizwa wengine mateka wengine wamekula shaba, ndio mana Israel wamechoshwa na madhila waliyokuwa wanapata wakaonoa waombe poo
 
Back
Top Bottom