Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Haha based on what ? Hezbolla outsmart IDF kwenye ground battle? Zile site IDF alikuwa anazikuta ni za nani?
Unaweza ukanionesha hata Kijiji kimoja alichokidhibiti Israel!?
Vita zilikua zilipiganwa mpakani.
Airstrike zinafanyika mle sababu adui ana ji mix na watu. if adui kazungukwa na watu always kutakuwa na collateral damages
Mimi sio fan wa kudhuru raia, but hamna namnaraia wanaweza wasipate madhara, vita vyote duniani raia ni number one victim
Naona na wewe mkuu umekua mtu wa kulishwa propaganda.
Wanamgambo washika silaha wapo mpakani mwa Lebanon na Israel halafu Israel inalipua Beirut kutafuta nini!?
Kama sio kuua raia kimakusudi!?
Hizbollah Kambi zao zipo mpakani na Lebanon hazipo Beirut,Beirut Kuna viongozi wa kisiasa wa Hizbollah.
Hivi inaingia akilini unaacha askari wapo mlangoni kwako unalipua raia!?
Au sisi hatujui kuwa Israel amezoea kuua raia Kwa kisingizio Cha human shield!?
Vipi kuhusu ule uongo wa hospitali ya Beirut kuwa na handaki lenye hazina za Hizbollah!?
Je hilo umelisahau!?
 
Unaweza ukanionesha hata Kijiji kimoja alichokidhibiti Israel!?
Vita zilikua zilipiganwa mpakani.

Naona na wewe mkuu umekua mtu wa kulishwa propaganda.
Wanamgambo washika silaha wapo mpakani mwa Lebanon na Israel halafu Israel inalipua Beirut kutafuta nini!?
Kama sio kuua raia kimakusudi!?
Hizbollah Kambi zao zipo mpakani na Lebanon hazipo Beirut,Beirut Kuna viongozi wa kisiasa wa Hizbollah.
Hivi inaingia akilini unaacha askari wapo mlangoni kwako unalipua raia!?
Au sisi hatujui kuwa Israel amezoea kuua raia Kwa kisingizio Cha human shield!?
Vipi kuhusu ule uongo wa hospitali ya Beirut kuwa na handaki lenye hazina za Hizbollah!?
Je hilo umelisahau!?
Unaniita mtu wa kulishwa propaganda?
Unachokiandika si propaganda?

Honestly sitafuti upande wa mtu, not driven by religion or whatever, field truth
 
imekuwaje ICC wakatoa hati ya kukamatwa kwa waziri mkuu wa israel kama si kelele za nje?
Unajua ni mataifa mangapi yamepeleka petition against israel?
Mwishowe hata washirika wake wakamgeuka?

Imagine kusingekuwa na kelele na dunia isingejali kinachoendelea lebanon?
Naongea Kwa msisitizo palipopigiwa kelele za nje ni GAZA sio LEBANON.
Na ICC arrest warrant imetoka kwaajili ya war crimes Gaza.
Mataifa 124 yamepiga kura against Israel kikao Cha UNGA kwaajili ya GAZA.
Tangu November 2023 hadi leo vimekalika vikao vingi dhidi ya Israel kuhusu GAZA.
Je Israel ilisikiliza hizo kelele!??

Yani Israel isisikilize kelele kuhusu Gaza halafu isikilize kelele kuhusu Lebanon!?
Hujakaa ukajiuliza kwanini!?
Fungua akili mkuu,kama Israel ingeweza kuidhibiti Hizbollah kama inavyoidhibiti Hamas leo hii usingesikia Netanyahu anakubali ceasefire.
Labda mmesahau kuwa Hizbollah ndio chanzo Cha Netanyahu na Gallant kutofautiana .
 
mkuu waliingizwa kimtindo halafu wakabamizwa wengine mateka wengine wamekula shaba, ndio mana Israel wamechoshwa na madhila waliyokuwa wanapata wakaonoa waombe poo
Kwa namna yoyote sisi kama Tanzania, hatufaidiki na vita yao, Wala hatupati hasara kwa vifo vyao, labda tu uchungu na ushabiki wa kidini.
 
Unaniita mtu wa kulishwa propaganda?
Unachokiandika si propaganda?
Kwani kusema hii kauli ni kitu kibaya kaka!?
Propaganda unaweza ukaimeza eidha kwa kuijua ama pasipo kuijua.
Niwie radhi kama nimekuudhi🙏🙏🙏.
Honestly sitafuti upande wa mtu, not driven by religion or whatever, field truth
Hakuna anayetafuta upande wa mtu mkuu wala hakuna udini.
Hata mimi naeleza ukweli pia.
Israel ilitangaza na kuleta Hadi picha za handaki wakidai Hospitali ya Beirut ina handaki linalohifadhi pesa na hazina za dhahabu za Hizbollah.
UN wenyewe walikagua na wakasema ni uongo.
Je huyu Israel ni wa kumuamini kaka!?
 
Mhhh! Mkuu; hadi tunaongea hapa leo 29/11/2024 bado Hezbollah anaendelea kuhesabu vifo vya wapiganaji wake. Inakadiriwa ni 4000+ halafu ww unasema wako makini? Yani kuhesabu 1,2,3,4,5,6.......imekuwa ni shughuli kwake. Mwisho wa siku atatoa figure ya uongo.
sasa kama hezbollah wameuliwa kiasi hiko kulikuwa na haja vita kusimama? kwanini hao mazayuni hawakutia maguu Lebanon wakachukua vijiji
 
Tumia akili ndogo tu
Kwanini hujasikia Israel ikiwaambia raia wake warudi nyumbani
Alifikia hatua ya kuhama nchi ujue kachakazwa 😃
Haya taja kiongozi mkubwa wa Israel aliyeuwawa
Wewe ndio utumie akili
 
Waisrael waliondoka kwa utaratibu lakini ni kutokana na mashamulizi ya maroketi ya Hezbollah.
Walebanon kusini walikimbizwa kwa Amri ya kuondoka kama ilivyokuwa inatolewa na IDF.
Beirut ilipigwa kwa kusambaratisha majengo, kuwalenga viongozi wa Hezbollah, kulenga miundombinu ya kiraia na ya kijeshi ile yenye mahusiano makubwa na Hezbollah, Maghala ya kuhifadhi silaha ya Hezbollah .n.k. ie yalikuwa ni mashambulizi yenye sababu au Malengo.
Huko Tel Aviv, Hezbollah alikuwa anarusha makombora eti alimradi tu yakaangukie Tel Aviv. Hakuna lengo. Na mengi ya makombora hayo yalidhibitiwa.
Mengi ila sio yote na ndio maana watu tel avivu wamekufa pia
 
Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."

Wee mkojooooo mzigooooo u umemwaga wa kutoshaaa leooo usikuu mbafuuuu kaangalie hospt iliyoopigwaa na mauwaji ya leooo balaaa
 
sasa kama hezbollah wameuliwa kiasi hiko kulikuwa na haja vita kusimama? kwanini hao mazayuni hawakutia maguu Lebanon wakachukua vijiji
Lengo la Myahudi halikuwa kuchukua vijiji bali ni kuhakikisha Hezbollah anaondoka katika eneo la kusini mwa Lebanon alikojichimbia na kutokea hapo anarusha makombora dhidi ya Israel. Hezbollah akiwa mbali kaskazini ng'ambo ya mto Litan itakuwa sio rahisi kwake kurusha makombora hadi Israeli kama alivyokuwa anafanya kabla ya cease fire.
Haja ya vita kusimama ilkuwa ni muhimu kwani:
1. Hezbollah alikuwa hatoi msaada wowote kwa raia wa Lebanon bali aliwatelekeza wakawa wanaswagwa na kukimbia hovyo huku na kule kama mbuzi na IDF.
2. IDF ilikuwa inasambaratisha kila kitu - majumba, miundobinu ya Kijamii na ya kijeshi kwani Hezbollah alidhani kwa kuficha silaha ndani ya majumba ya watu IDF haitapiga hizo nyumba kwani itakuwa ni ukiukwaji wa Taratibu za vita kimataifa. Kumbe IDF ilijua hilo na ni kosa pia kwa Hezbollah kuweka silaha kwenye maeneo ya raia. Matokeo ya matendo ya Hezbollah kujichanganya Uraiani Walebanoni wakawa wanapewa amri na IDF kuondoka haraka maeneo hayo na kupisha mashambulizi.
3. Ilikuwa ni muhimu vita kusimama walau ipatikane nafasi ya mazungumzo kwani kwa hali isiyokuwa ya kawaida Hezbollah alikwisha nyong'onyeshwa mno ndo mana kakukali haraka -haraka cease fire. Na kama kawaida ya hao magaidi, Hezbollah amemtelekeza HAMAS hana msaada wowote kwake tena.
Na Hezbollah akiulizwa nini kilikupelekea ww Hezbollah kujiingiza vitani na Israeli majibu yake ni eti nilikuwa namsaidia, namwunga mkono ndugu yangu HAMAS dhidi ya Israeli. Matokeo ya kitendo hicho cha Hezbollah "kudandia mambo ya watu" nchi ya Lebanon na wananchi wake wamepata adha kubwa kijamii na kiuchumi.
 
Lengo la Myahudi halikuwa kuchukua vijiji bali ni kuhakikisha Hezbollah anaondoka katika eneo la kusini mwa Lebanon alikojichimbia na kutokea hapo anarusha makombora dhidi ya Israel. Hezbollah akiwa mbali kaskazini ng'ambo ya mto Litan itakuwa sio rahisi kwake kurusha makombora hadi Israeli kama alivyokuwa anafanya kabla ya cease fire.
Haja ya vita kusimama ilkuwa ni muhimu kwani:
1. Hezbollah alikuwa hatoi msaada wowote kwa raia wa Lebanon bali aliwatelekeza wakawa wanaswagwa na kukimbia hovyo huku na kule kama mbuzi na IDF.
2. IDF ilikuwa inasambaratisha kila kitu - majumba, miundobinu ya Kijamii na ya kijeshi kwani Hezbollah alidhani kwa kuficha silaha ndani ya majumba ya watu IDF haitapiga hizo nyumba kwani itakuwa ni ukiukwaji wa Taratibu za vita kimataifa. Kumbe IDF ilijua hilo na ni kosa pia kwa Hezbollah kuweka silaha kwenye maeneo ya raia. Matokeo ya matendo ya Hezbollah kujichanganya Uraiani Walebanoni wakawa wanapewa amri na IDF kuondoka haraka maeneo hayo na kupisha mashambulizi.
3. Ilikuwa ni muhimu vita kusimama walau ipatikane nafasi ya mazungumzo kwani kwa hali isiyokuwa ya kawaida Hezbollah alikwisha nyong'onyeshwa mno ndo mana kakukali haraka -haraka cease fire. Na kama kawaida ya hao magaidi, Hezbollah amemtelekeza HAMAS hana msaada wowote kwake tena.
Na Hezbollah akiulizwa nini kilikupelekea ww Hezbollah kujiingiza vitani na Israeli majibu yake ni eti nilikuwa namsaidia, namwunga mkono ndugu yangu HAMAS dhidi ya Israeli. Matokeo ya kitendo hicho cha Hezbollah "kudandia mambo ya watu" nchi ya Lebanon na wananchi wake wamepata adha kubwa kijamii na kiuchumi.
Mimi sipendi kusoma porojo zilizokwenye kichwa chako, Lebanon Netanyahu alisema lengo lake ni kuhakikisha kundi la Hezbollah linaondoka lakini arudishe mipaka ya zamani huko lebanon ili nchi yao iweze kuwa huru chini ya IDF.

Lakini mpaka tunaandika hapa ngome za Hezbollah zimeimaimarika zaidi na Israel kuomba poo baada ya vichapo kutoka kwa hawo wanamgambo wa Hezbollah, Netanyahu aliahidi underground na sasa hujaeleza chochote kwanini IDF walifeli underground Lebanon.
 
Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."

Hamnazo ninyi
 
Mimi sipendi kusoma porojo zilizokwenye kichwa chako, Lebanon Netanyahu alisema lengo lake ni kuhakikisha kundi la Hezbollah linaondoka lakini arudishe mipaka ya zamani huko lebanon ili nchi yao iweze kuwa huru chini ya IDF.

Lakini mpaka tunaandika hapa ngome za Hezbollah zimeimaimarika zaidi na Israel kuomba poo baada ya vichapo kutoka kwa hawo wanamgambo wa Hezbollah, Netanyahu aliahidi underground na sasa hujaeleza chochote kwanini IDF walifeli underground Lebanon.
Sidhani kama nilichoandika ni porojo zilizo kwenye kichwa changu.
Hebu soma na kuelewa hayo yaliyomo kwenye hiyo cease fire (truce) halafu ulinganishe na ulichokiandika ww kama vinaendana au vinakubaliana. e.g. kama Neta alisema lengo lake ni kuhakikisha kundi la Hezbollah linaondoka (linaondoka kutoka wapi kwenda wapi ???).....Je, hilo kundi si limeondoka? (kwa lazima au kwa hiari lakini liondoke na hilo lipo kwenye cease fire) na Lebanon kama nchi imeridhia i.e. Hezbollah lazima atekeleze hivyo.
Haya 👇👇ndo porojo(nanukuu) na umeyasema wewe.
"Lakini mpaka tunaandika hapa ngome za Hezbollah zimeimaimarika zaidi na Israel kuomba poo baada ya vichapo kutoka kwa hawo wanamgambo wa Hezbollah, Netanyahu aliahidi underground na sasa hujaeleza chochote kwanini IDF walifeli underground Lebanon."
Au kama sio porojo, Tupe chanzo cha Taarifa hiyo.
 
Sidhani kama nilichoandika ni porojo zilizo kwenye kichwa changu.
Hebu soma na kuelewa hayo yaliyomo kwenye hiyo cease fire (truce) halafu ulinganishe na ulichokiandika ww kama vinaendana au vinakubaliana. e.g. kama Neta alisema lengo lake ni kuhakikisha kundi la Hezbollah linaondoka (linaondoka kutoka wapi kwenda wapi ???).....Je, hilo kundi si limeondoka? (kwa lazima au kwa hiari lakini liondoke na hilo lipo kwenye cease fire) na Lebanon kama nchi imeridhia i.e. Hezbollah lazima atekeleze hivyo.
Haya 👇👇ndo porojo(nanukuu) na umeyasema wewe.
"Lakini mpaka tunaandika hapa ngome za Hezbollah zimeimaimarika zaidi na Israel kuomba poo baada ya vichapo kutoka kwa hawo wanamgambo wa Hezbollah, Netanyahu aliahidi underground na sasa hujaeleza chochote kwanini IDF walifeli underground Lebanon."
Au kama sio porojo, Tupe chanzo cha Taarifa hiyo.
Lete hiyo cease fire (truce) hapa tusome na kwamba hezbollah wameondoka,
Hezbollah juzi wameshangilia kwa ushindi mkubwa walioupata kutoka mazayuni ya kiyahudi na IDF, na wameionya sana Israel
 
Back
Top Bottom