Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Israhell iliahidi kuangamizwa Kwa hizbullah mpaka sasa bado ipo waliahidi pia wakazi wa kaskazini kurudi ila mpaka sasa Hola mwisho wakasema kwamba hawaongei na magaidi ila wamekubali kuongeaHezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo
Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi
Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia
Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto