Hezbollah yawaambia raia Waisrael kuhama Tel Aviv

Nimepata habari jioni hii majenerali wa IDF wameliambia Baraza la mawaziri huko Israel hakuna namna lazima vita huko Gaza isimame tunapoelekea ni kubaya. Netanyahu anaendelea kushupaza shingo kama kawaida yake yatamkuta mambo.
Kumbe madrasa ndo mnadanganyana hvyo?
 
Israel walijua Hezbollah ni hamas ... kwa mara ya kwanza Makao makuu ya Mosad Tel Aviv yapigwa ... mji wote umefungwa watu wapo kwenye mahandaki😀
Usifananishe Hamas na vitu vya kijinga kama Hezbollah waua Ng'ombe na kuku..

Hadi sasa Hezbollah ameshushwa viwango mbali sana kwa Hamas... Hezbollah kinachowasumbua ni Madawa ya Kulevya.. walevi wengi wanaokoteza okoteza magaidi
 
God Bless Israel
 
Naomba niwakumbushe siku zake zina hesabika. Kiufupi wanaenda mu eliminate na hizo video za vitisho hata Iraq zilikuwepo ila sadam hayupo... Hezbollah’s nikitisho kwa usalama wa Israeli na wamedhamiria kuwamaliza wote keep silence and you shall see...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…