PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hezbollah siyo Hamas wakati Lebanon inaendelea kusawazishwa?Vyombo vya habari vya Kiebrania: Kwa sababu ya kuongezeka kwa usalama na kughairiwa kwa safari nyingi za ndege na mashirika ya ndege hadi Uwanja wa Ndege wa Lod (Ben Gurion), bei za tikiti za ndege kati ya "Tel Aviv" na "New York" zimefikia $16,000.
😀 Hezbollah siyo Hamas.