Hezbollah yawaambia raia Waisrael kuhama Tel Aviv

Hezbollah yawaambia raia Waisrael kuhama Tel Aviv

BREAKING: HEZBOLLAH ILILENGA IKULU YA MOSSAD HUKO TEL AVIV

"Katika kuunga mkono watu wetu thabiti wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na kuunga mkono upinzani wao shupavu na wa heshima, na katika kulinda Lebanon na watu wake, Upinzani wa Kiislamu ulizinduliwa Jumatano asubuhi, 9/25/2024, saa 6:30 asubuhi. , kombora la balestiki la "Qadr-1" linalolenga makao makuu ya Mossad katika viunga vya Tel Aviv, ambayo ni makao makuu yenye jukumu la kuua viongozi na kulipua kurasa na vifaa visivyo na waya."

Chanzo: Hezbollah Rasmi TG



View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1838820593807790124?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kwani wameanza leo?
⚡️⭕️❗️ For the first time in history - Hezbollah targets Tel Aviv with a ballistic missile :

⚡️⭕️ #Lebanon: #Hezbollah: On Wednesday morning at 6:30 a.m., the Islamic Resistance launched a Qader-1 ballistic missile targeting the Mossad headquarters in the suburbs of Tel Aviv, responsible for assassinating leaders, blowing up pagers and radios.

According to Israeli media, the missile was intercepted with the David's Sling defense system.
 
Historical ya wazayuni miaka iyo bada ya kuundwa dollayao kupitia azimio la UN chini ya uingeleza ambayo ndio walipeleka mswada au wazo la kutaka kuazishwa Israel uko ktk ichi ya wafilistin ambao masikni awa awajawai kupata aman au uhuru akitoka bwana uyu kutawala eneoLao anakuja uyu. Atimae nchi yao imegawanywa nusu Israel nusu Palestine majesh ya wazungu yakaenda kulinda nchi mpya itwsyo Israeli. Kutoka apo wazayuni kutoka kila seem wakaanza kuelekea ktk nchyao mpya na inadaiwa asilimia kubwa walitumia majaazi makubwa kufika ktk nchi yao walio aidiwa wataish kwa amani mustarehee lkn ukweli hii ilikuwa uwongo awajawai pata amani tangu apo adi sasa kwasasa kuna kila dalili kuwa wataondoka upya tena kupitia bahari ileile waliotumia kujia tena kutumia ktk ichi ya ahadi, ktk ya kushangaza sana dunia kweli inazunguka.,, upande wa pili iyo Israel ukiacha palestrina wamekuwa mwiba kwao. Lkn umo ndani ktk nchi yao tangu imeidwa awajawai wenyewe kuishi kwa amani kupendana kuna wayahudi kuna wazayuni so inch imeshikwa na wazsyuni ambayo kitabiya sio watu wamungu wenyekuegemea mambo ya mungu tofauti na mayahudi awa wapo kiibada sana kias sasa wakajikuta tena wanamaugomvi kibao jamii izi tangu apo adi sasa kias awa jamaa wakaamua kuwaunga mkono wapalestina so ichi iyo ilikuwa tangu imeidwa ni shida tupu uwezi kuchanganya walevi na wahumini eti waishi kwa upendo ndani nyumba ndipo awa wahumini w kiyahudi wakagundua bola kuishi chini ya wapalestin kuliko kuishi chini ya zayuni. Shida zilikuwa nyingi siasa zao pia zikawa na matabaka muwe na asubui njema mungu atufanyiye wepesi ktk kutafuta mkate wetu. Tuaombe amani kwawote wote ni binadamu wenzetu wakipitia mateso atupendi watafute amani dunia iwe seem ya amani.
Wakuu tujifunze kuandika vizuri
 
Nimepata habari jioni hii majenerali wa IDF wameliambia Baraza la mawaziri huko Israel hakuna namna lazima vita huko Gaza isimame tunapoelekea ni kubaya. Netanyahu anaendelea kushupaza shingo kama kawaida yake yatamkuta mambo.
Umepatw habari from which source?
 
Wanaukumbi,

"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.

Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.

Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.

Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.

We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.

If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."
Blah blah nyingi biti nyingi, waketi IDF wanatoa dozi kwa matendo wao wanapiga story nyingi
 
Nimepata habari jioni hii majenerali wa IDF wameliambia Baraza la mawaziri huko Israel hakuna namna lazima vita huko Gaza isimame tunapoelekea ni kubaya. Netanyahu anaendelea kushupaza shingo kama kawaida yake yatamkuta mambo.
Kutoka wapi hizo news,? Kizimkazi, au chato, au Lumumba CCM?
 
⚡️⭕️❗️ For the first time in history - Hezbollah targets Tel Aviv with a ballistic missile :

⚡️⭕️ #Lebanon: #Hezbollah: On Wednesday morning at 6:30 a.m., the Islamic Resistance launched a Qader-1 ballistic missile targeting the Mossad headquarters in the suburbs of Tel Aviv, responsible for assassinating leaders, blowing up pagers and radios.

According to Israeli media, the missile was intercepted with the David's Sling defense system.
Kurusha hawajaanza leo, houth wentewe si walirusha hapo juzi na kombora likaenda kudondokea majani yaliyokusanywa kwa ajili ya kuchimwa likayachoma? ulichotakiwa ni kuleta matokeo ya hayo mashambulizi, sasa wewe kombora limejiishia zake hewani wewe huyo mbiombio kwenda kufungua nyuzi.
 
Back
Top Bottom