Ni mapumbavuNyuzi za Ritz na wenzake nasikia siku hizi zinaitwa ARVs😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mapumbavuNyuzi za Ritz na wenzake nasikia siku hizi zinaitwa ARVs😅
Wew kweli ndo jinius nmekukubaliWao wanaua raia na viongozi wa hizbollah halafu wanaacha wanajeshi wa hizbollah hivi hio ni akili akati ukisikia hizbollah kapiga ni katwanga kambi nzima ambao ndio nguvu kazi akili ni nywele wanajifanya majinius kumbe wajinga
Hezbollah Huwa hawatanii na hawasemi uongo. Siyo kama mazayuni, uongo ni jadi yao.Wanaukumbi,
"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.
Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.
Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.
Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.
We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.
If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."
Hii vita nan atashinda?Hezbollah Huwa hawatanii na hawasemi uongo. Siyo kama mazayuni, uongo ni jadi yao.
Walitoa tangazo la surprise mchana leo bila kueleza kwa kinaWaondoke haraka sana maana Kuna silaha hazija testiwa kutoka Iran yasije yakawakuta mambo
Kila siku anapiga huko Syria,alitegemea nini!?Haaretz Newspaper:
The army is following with concern the arrival of about 40 thousand fighters from #Syria, Iraq and #Yemen to the Golan and they are waiting for Nasrallah's call to fight
The presence of fighters is dangerous and we will intervene in #Syria to make it clear to Assad that we will not accept their presence in this place
Ni nani aliyekuwa akielezwa maneno hayo?Wanaukumbi,
"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.
Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.
Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.
Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.
We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.
If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."
Waisrael kama ambavyo israel ilifanya kwa walebanonNi nani aliyekuwa akielezwa maneno hayo?
Hii vita nan atashinda?
Hapo mwenye HAKI ni Hezbollah sio?Mwenye haki.
Mwenye kudhulumu hazidishiwi ila hasara tu.
Hujui wanachofanya.Kama hio video rocket nyingi zinahalibiwa juu huko huko .
Labda Iran wawape super sonic speed missile kitu.
Au long range ballistic missile ndo itakuwa rahisi.
Sasa nao sometime wanapiga mpk mabanda ya ng'ombe.
Poo ya nini embu tuambie??Nimetoka sasa hivi Al jazeera kwenye breaking news rais wa irani kaomba poo ya mtu.......Lebanon karibia anataga yai la pasaka
Wanaowaona kama ndo hezibullaSio kweli.
Taarifa sahihi ni kuwa wahamiaji kutoka south wanapingana na wa Central.
Yani imekua kama civil conflict hawataki wa south kuja maeneo yao.
Waondoke haraka sana maana Kuna silaha hazija testiwa kutoka Iran yasije yakawakuta mambo
Wanaukumbi,
"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.
Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.
Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.
Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.
We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.
If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."