Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #21
Wewe endelea mipasho tu.Nyuzi za Ritz na wenzake nasikia siku hizi zinaitwa ARVs😅
View: https://x.com/nadira_ali12/status/1838628415232184523?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea mipasho tu.Nyuzi za Ritz na wenzake nasikia siku hizi zinaitwa ARVs😅
Wachumba tu hao hawasumbuiKama hio video rocket nyingi zinahalibiwa juu huko huko .
Labda Iran wawape super sonic speed missile kitu.
Au long range ballistic missile ndo itakuwa rahisi.
Sasa nao sometime wanapiga mpk mabanda ya ng'ombe.
Kama hio video rocket nyingi zinahalibiwa juu huko huko .
Labda Iran wawape super sonic speed missile kitu.
Au long range ballistic missile ndo itakuwa rahisi.
Sasa nao sometime wanapiga mpk mabanda ya ng'ombe.
Imeandikwa:Na kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe. Nukta.
Wanaukumbi.
BREAKING: HEZBOLLAH YAWAAMBIA RAIA WA ISRAEL KUHAMA TEL AVIV
"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.
Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.
Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.
Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1838636715604611189?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
War strategy itakuwa hizbullah wanatunza makombora makali sasa wanatumia yale ya kutoa kama chambo tu ili kupunguza au kudeplete iron dome na air defense za adui wao huwa mara nyingi vita ni mkakati sio hasira ,ili ushinde ni mkakati halafu na hasira ya kuimplement hizo strategy.Kama hio video rocket nyingi zinahalibiwa juu huko huko .
Labda Iran wawape super sonic speed missile kitu.
Au long range ballistic missile ndo itakuwa rahisi.
Sasa nao sometime wanapiga mpk mabanda ya ng'ombe.
War strategy itakuwa hizbullah wanatunza makombora makali sasa wanatumia yale ya kutoa kama chambo tu ili kupunguza au kudeplete iron dome na air defense za adui wao huwa mara nyingi vita ni mkakati sio hasira ,ili ushinde ni mkakati halafu na hasira ya kuimplement hizo strategy.
Acha waendelee kuchapana heshima ipatikane
Hezbollah inatenda kimkakati.Itakuwa idf wako busy kustrike dummy launching site hii vita sio rahisi ndio maana wayahudi wa usa wamesogeza wanajeshi pale middle east ila naona kazi ya Houth wayemeen itakuwa ni kuzamisha au kuzifanya battle incapacity meli za kivita acha tujionee
Hii vita ikisambaa itakuwa ni mbaya!Itakuwa idf wako busy kustrike dummy launching site hii vita sio rahisi ndio maana wayahudi wa usa wamesogeza wanajeshi pale middle east ila naona kazi ya Houth wayemeen itakuwa ni kuzamisha au kuzifanya battle incapacity meli za kivita acha tujionee