Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Unapotaka kumpiga mtu punguza kuongea sana. Vitani ukiongea sana utamjilisha adui in advance, atajipanga alipo. For what?Stori nyingi kivipi!?
We huoni watu wamehamaki wanakimbia kwenye mahandaki!?
Umeshajiuliza kwanini USA imepeleka jeshi middle east jana?
Kwa wewe unavyoona kwa jeshi la USA idadi ilotumwa ni ndogo!?Unapotaka kumpiga mtu punguza kuongea sana. Vitani ukiongea sana utamjilisha adui in advance, atajipanga alipo. For what?
IDF huwa wanawajulisha watapiga wapi au kutumia nini?
Us ametuma troops but unajua idadi waliotuma?
We kichaa kweli hao unauhakika ni vijana wa Hezbullah huoni kama ni filim hio ya Bollywood, eti kubeba bunduki ndio itakuwa target ya Israel. Hawakuona Missiles wakaone bunduki 😄 kwanza hao durez wengi ndio wanatumiwa na Israel kule Lebanon kutoa siri za Hezbullah
Ndio matokeo ya 65 missiles au me ndio sijaelewa apoWewe endelea na mipasho mimi naleta habari ambazo mabasha zako wanavypchezea kichapo.😀
View: https://x.com/zainabali_72/status/1838621661819482266?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kwa wewe unavyoona kwa jeshi la USA idadi ilotumwa ni ndogo!?
Je wameenda bure bila ongezeko la silaha!?
Usimpangie nini mtu atafanya.
Hizbollah wameongea na wameshambuli mwisho tunaona hao wanakimbizana kama kuku na video zinaoneshwa maeneo ya Israel yanayoungua.
*US haijabainisha ni kiasi gani cha askari imepeleka middle east kwasasa.Wakidai kwasababu za kiusalama hawatataja idadi.Nimekuuliza unajua idadi ya wanajeshi wa US waliotumwa huko na wewe unauliza badala ya kujibu swali?
Jibu swali na swali halijibiwa kwa swali
Hezbollah wangekuwa effective kias hiko israel isingekuwepo leo, probably nusu ya israel inge fall. Nini kimetokea? Wame make progress gani kwenye uwanja wa vita mpaka sasa?
Wanaukumbi,
"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.
Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.
Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.
Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.
We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.
If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."
Baadhi zimedunguliwa na baadhi zimeleta maafa.Ndio matokeo ya 65 missiles au me ndio sijaelewa apo
Sasa unategemea usa akiingia si lazima Iran aite mmaRais wa Iran Masoud Peshkizian alisema kuwa Hizbollah haiwezi kusimama yenyewe pasi na Iran ila kuna hofu kuwa huwenda hii vita ikisambaa ikawavuta USA na Iran katika mapigano.
Sasa hapo ndio kuomba poo!?
Sasa unategemea usa akiingia si lazima Iran aite mma
Marekani na Israel leo ndiyo wanasema wapo tayari kusitisha vita Gaza Hizbollah waache kushambulia wameambiwa vita ndiyo vinaanza sasa.Vitu vimetua Tela Aviv kiulaini kabida Qadar 1 unambiwa hakuna wakuidaka hiyo Israel anajidai kaiangusha lakini ni uwongo mtupu Mossad imecharazwa leo sababu wamehusika na pager na kuwauwa wale Makamanda kushirikiana na wanafiki huko Lebanon na US.
View: https://youtu.be/LTH98kcCvJo?si=lkSeuHwGQ2k2hh9r
Nimekuuliza unajua idadi ya wanajeshi wa US waliotumwa huko na wewe unauliza badala ya kujibu swali?
Jibu swali na swali halijibiwa kwa swali
Hezbollah wangekuwa effective kias hiko israel isingekuwepo leo, probably nusu ya israel inge fall. Nini kimetokea? Wame make progress gani kwenye uwanja wa vita mpaka sasa?
Vyombo vya habari vya Kiebrania: Kwa sababu ya kuongezeka kwa usalama na kughairiwa kwa safari nyingi za ndege na mashirika ya ndege hadi Uwanja wa Ndege wa Lod (Ben Gurion), bei za tikiti za ndege kati ya "Tel Aviv" na "New York" zimefikia $16,000.Kurusha hawajaanza leo, houth wentewe si walirusha hapo juzi na kombora likaenda kudondokea majani yaliyokusanywa kwa ajili ya kuchimwa likayachoma? ulichotakiwa ni kuleta matokeo ya hayo mashambulizi, sasa wewe kombora limejiishia zake hewani wewe huyo mbiombio kwenda kufungua nyuzi.
Haaaa!
Kumbe wanawaomba raia wa Tel Aviv wadai kusitishwa kwa mapigano.
Pole yao Hezibolaa.
Kosugi vipi tena hapa?Marekani na Israel leo ndiyo wanasema wapo tayari kusitisha vita Gaza Hizbollah waache kushambulia wameambiwa vita ndiyo vinaanza sasa.
View: https://x.com/currentreport1/status/1838945648198160418?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw