Hezbollah siyo Hamas wakati Lebanon inaendelea kusawazishwa?Vyombo vya habari vya Kiebrania: Kwa sababu ya kuongezeka kwa usalama na kughairiwa kwa safari nyingi za ndege na mashirika ya ndege hadi Uwanja wa Ndege wa Lod (Ben Gurion), bei za tikiti za ndege kati ya "Tel Aviv" na "New York" zimefikia $16,000.
😀 Hezbollah siyo Hamas.
Mmmh embu wacha tulitizame kwa ukina kupata clarification.Kosugi vipi tena hapa?
Iran haiogopi vita ila kwasasa wamejikita kuufufua uchumi wao.Sasa unategemea usa akiingia si lazima Iran aite mma
Kwanini Netanyahu anakuwa mwepesi kusimamisha vita? Hizo busara kazitoa wapi?⚡️Israel Hayom:
🇮🇱🇱🇧 Netanyahu has informed the US that Israel is ready for a ceasefire in Lebanon.
Iran sasa hivi imejipambanua kutumia siasa zaidi kuliko nguvu.Hawa walokole hawafahamu mbinu za Iran, Netanyahu kawachokoza alidhani wataingia kichwa kichwa Marekani naye aingie kuwasaidia wao wanagawa silaha 😀
USA iliyokimbia Taliban? Ama USA ipi?Sasa unategemea usa akiingia si lazima Iran aite mma
Siyo yeye hizi bakora😀Kwanini Netanyahu anakuwa mwepesi kusimamisha vita? Hizo busara kazitoa wapi?
Endeleeni kushangilia makombora yanayiyunguliwa huku Lebanon inazidi kusawazishwa kwa ajili ya kupisha upimaji wa viwanja⚡️Israel Hayom:
🇮🇱🇱🇧 Netanyahu has informed the US that Israel is ready for a ceasefire in Lebanon.
Endeleeni kushangilia makombora yanayiyunguliwa huku Lebanon inazidi kusawazishwa kwa ajili ya kupisha upimaji wa viwanja
Kwa hiyo hapo mdiyo Eilat? Mbona hiyo clip ninayo tangu mwaka jana?
Wewe endelea na mipasho tu mabasha zao wanapokea kipigoKwa hiyo hapo mdiyo Eilat? Mbona hiyo clip ninayo tangu mwaka jana?
Kwa hiyo hapo mdiyo Eilat? Mbona hiyo clip ninayo tangu mwaka jana?
Happy birthday Ritz, haya mafuta niliyoyashika yasikutishe.