Hezbollah yawafanyia machezo ya "tisha toto" Israel

Hezbollah yawafanyia machezo ya "tisha toto" Israel

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Hii habariya leo 6/01/2023 kutokea kwa kiboko ya mazayuni, Hezbollah imenifanya nicheke tu.

Leo Hezbollah wameshambulia kambi ya anga yenye ndege na miundombinu ya kujihami angani kama vile "iron Dome" ya mazayuni.

Cha kustuwa ni kuwa Hebollah wametumia aina 62 tofauti za missiles kwa muda mfupi tu. Haijawahi kutokea kitu kama hiki duniani.

Wametowa tamko baada ya shambulizi hilo na kusema hiyo ni "bashraf" tu, tupo katika kutazama missiles zipi zitafaaa zaidi kuwafinyia, mashambulizi kamili hayajaanza.

Jeshi la uvamizi la mazayuni limekiri kuchezea kichapo. Jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/6D8jIVgWxnI?si=d5aLik53xHVyANd5

Hii tisha toto ya leo inanifanya sasa nielewe zaidi kwanini mazayuni waliwahi kunyanyuwa mikono (kusalimu amri) na kukiri kuchezea kichapo kutokea kwa Hezbollah.

Halafu jana Hassan Nassrallah, aliwaambia mazayuni "vijana wa Hamas wa Ghaza walikuwa wanapima kina cha maji tu na wameionesha dunia kuwa IOF si chochote si lolote, sasa subirini muelewe vita ni nini". Halafu leo anawafanyia vituko hivyo.
 
Nasilala mlaini sana

Mwislamu pekee Jasiri ni Osama Bin Laden

Huyu Hassan ni kama Manji tu wa bakuata hata bunduki haijui
Hakuna Muislam asiye jasiri. Kumbuka Muislam hajichaguwi wala hachaguliwi kwa kura kupewa cheo. Nassrallah watu wakeanaowaongoza ndiyo wamemuona anafaa kuwaongoza. Hakuna kura huko.

Ukimuona Muislam hana ujasiri, utilie shaka Uislam wake.

Anavyotisha hata jina lake unaogopa kuliandika.
 
Hii habariya leo 6/01/2023 kutokea kwa kiboko ya mazayuni, Hezbollah imenifanya nicheke tu.

Leo Hezbollah wameshambulia kambi ya anga yenye ndege na miundombinu ya kujihami angani kama vile "iron Dome" ya mazayuni.

Cha kustuwa ni kuwa Hebollah wametumia aina 62 tofauti za missiles kwa muda mfupi tu. Haijawahi kutokea kitu kama hiki duniani.

Wametowa tamko baada ya shambulizi hilo na kusema hiyo ni "bashraf" tu, tupo katika kutazama missiles zipi zitafaaa zaidi kuwafinyia, mashambulizi kamili hayajaanza.

Jeshi la uvamizi la mazayuni limekiri kuchezea kichapo. Jionee mwenyewe:


View: https://youtu.be/6D8jIVgWxnI?si=d5aLik53xHVyANd5

Hii tisha toto yua leo inanifanya sasa nielewe zaidi kwanini mazayuni waliwahi kunyanyua mikono (kusalimu amri) na kukiri kuchezea kichapo kutokea kwa Hezbollah.

Halafu jana Hassan Nassrallah, aliwaambia mazayuni "vijana wa Hamas wa Ghaza walikuwa wnapima kina maji tu na wameionesha dunia kuwa IOF si chochote si lolote, sasa subirini muelewe vita ni nini". Halafu leo anawafanyia vituko hivyo.

Nyie wanawake wa duniani siyo watamu, ngoja wenzako wa kiumbe watandikwe wafe ili wakadake bikra 72 huko ahera!! Wewe baki na ujinga wako
 
Nawakumbusha tu kiboko ya waarabu duniani ni ISRAEL 🇮🇱🇮🇱
Hiyo israel yenyewee kuna Waarabu.

Unaonesha huelewi Uarabu nini Uisrael nini.
Kwa hiyo waarabu wanauana wao Kwa wao ?😀😀
Basi inshallah 🙏🙏🙏
 
Nawakumbusha tu kiboko ya waarabu duniani ni ISRAEL 🇮🇱🇮🇱

Kwa hiyo waarabu wanauana wao Kwa wao ?😀😀
Basi inshallah 🙏🙏🙏
Ukiwa upade wa pili wa shillingi bomu likikukuta hesabu ni ahera.

Kwani Hitler hakuwa Mjerumani na hakuna Wayahudi waliokuwa wajerumani aliwateketeza?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Miss JF 2023 FaizaFoxy
 
Hawa Wapalestina yaani hawana wasiwasi kabisa, huko Khan Younis ambako ndiko majeshi yote ya Kizayuni yamejikusanya, Abou Obaidah jana kajitokeza hukohiuko kuwaonesha kuwa tupooo:


View: https://youtu.be/98d8TVLllL0?si=fKCtSBlEgo-tjqK0

Picha hizi background inaonesha yupo kama meter 100 tu kutoka kwenye mkusanyiko wa majeshi ya mazayuni.

Hawa vijana wana ushujaa ambao haujwahi kuonekana duniani.
 
Hawa Wapalestina yaani hawana wasiwasi kabisa, huko Khan Younis ambako ndiko majeshi yote ya Kizayuni yamejikusanya, Abou Obaidah jana kajitokeza hukohiuko kuwaonesha kuwa tupooo:


View: https://youtu.be/98d8TVLllL0?si=fKCtSBlEgo-tjqK0

Picha hizi background inaonesha yupo kama meter 100 tu kutoka kwenye mkusanyiko wa majeshi ya mazayuni.

Hawa vijana wana ushujaa ambao haujwahi kuonekana duniani.

Kinachonishangaza ni namna hawa "mashujaa" wameshindwa kulinda raia na mali zao.Unajua leo wamekufa wapalestina wangapi?
 
Kinachonishangaza ni namna hawa "mashujaa" wameshindwa kulinda raia na mali zao.Unajua leo wamekufa wapalestina wangapi?
Wewe lazima yakushangaze, kwa sababu haujuwi kwanini upo duniani. Hayo si ya kumtisha Muislam. Tunaamini siku ya mtu ikifika ni lazima kuondoka "realm" ya duniani na kuingia "realm" nyingine.

Hakuna raha ya kifo kama ya kufa na upo kwenye njia ya Mwenyezi Mungu.

Usiwadhanie wamekufa hao, wa hai na wanaruzukiwa.
 
Back
Top Bottom