๐Israel wanataka suluhu wakae meza moja.
๐๐๐ Tadhali faiza, hata wewe ni jasiri?Hakuna Muislam asiye jasiri. Kumbuka Muislam hajichaguwi wala hachaguliwi kwa kura kupewa cheo. Nassrallah watu wakeanaowaongoza ndiyo wamemuona anafaa kuwaongoza. Hakuna kura huko.
Ukimuona Muislam hana ujasiri, utilie shaka Uislam wake.
Anavyotisha hata jina lake unaogopa kuliandika.
Nje ya mada shangazi. Shule za zamani zilikuwa zinasomesha haswa! Mwandiko umenyooka! Hongera na pia hii habari nimeikuta kwenye mdomo wa Bwana Putin: rt com.Hii habariya leo 6/01/2023 kutokea kwa kiboko ya mazayuni, Hezbollah imenifanya nicheke tu.
Leo Hezbollah wameshambulia kambi ya anga yenye ndege na miundombinu ya kujihami angani kama vile "iron Dome" ya mazayuni.
Cha kustuwa ni kuwa Hebollah wametumia aina 62 tofauti za missiles kwa muda mfupi tu. Haijawahi kutokea kitu kama hiki duniani.
Wametowa tamko baada ya shambulizi hilo na kusema hiyo ni "bashraf" tu, tupo katika kutazama missiles zipi zitafaaa zaidi kuwafinyia, mashambulizi kamili hayajaanza.
Jeshi la uvamizi la mazayuni limekiri kuchezea kichapo. Jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/6D8jIVgWxnI?si=d5aLik53xHVyANd5
Hii tisha toto ya leo inanifanya sasa nielewe zaidi kwanini mazayuni waliwahi kunyanyuwa mikono (kusalimu amri) na kukiri kuchezea kichapo kutokea kwa Hezbollah.
Halafu jana Hassan Nassrallah, aliwaambia mazayuni "vijana wa Hamas wa Ghaza walikuwa wanapima kina cha maji tu na wameionesha dunia kuwa IOF si chochote si lolote, sasa subirini muelewe vita ni nini". Halafu leo anawafanyia vituko hivyo.
Mwaka wa wakristo unakutatiza , Leo lini kwenye mwaka wa waislamu, ili usichanganyeHii habariya leo 6/01/2023
Wanatafuna mabikra 72 wa ahera wenye macho kama mayai na wasioenda choo. Wadanganyeni tu lakini watakuja kwisha wote.Wewe lazima yakushangaza kwa sababu haujuwi kwanini upo duniani. Hayo si ya kumtisha Muislam. Tunaamini siku ya mtu ikifika ni lazima kuondoka "realm" ya duniani na kuingia "realm" nyingine.
Hakuna raha ya kifo kama ya kufa na upo kwenye njia ya Mwenyezi Mungu.
Usiwadhanie wamekufa hao, wa hai na wanaruzukiwa.
wewe bikra yako ulitolewa lini? Itakuwa baba Askofu alifanya yake.Wanatafuna mabikra 72 wa ahera wenye macho kama mayai na wasioenda choo. Wadanganyeni tu lakini watakuja kwisha wote.
Nashukuru kwa kutambua kuwa leo pia wameuwawa.Sasa nikupe taarifa rasmi kwa mujibu wa Al jazeera.Leo wamekufa 22Wewe lazima yakushangaza kwa sababu haujuwi kwanini upo duniani. Hayo si ya kumtisha Muislam. Tunaamini siku ya mtu ikifika ni lazima kuondoka "realm" ya duniani na kuingia "realm" nyingine.
Hakuna raha ya kifo kama ya kufa na upo kwenye njia ya Mwenyezi Mungu.
Usiwadhanie wamekufa hao, wa hai na wanaruzukiwa.
Mnadanganyana nyinyi tu hapo, katika Uislam hakuna ujinga huo mnaoueneza.Wanatafuna mabikra 72 wa ahera wenye macho kama mayai na wasioenda choo. Wadanganyeni tu lakini watakuja kwisha wote.
Tukiwambieni nyie makondoo mlio potea mnabisha Nabii Ibrahim yani azae haramu ๐ kumbukeni huyo anaitwa Rafiki wa Mungu.TUJIKUMBUSHE MAANDIKO MATAKATIFU:
MWANZO 21:9-12
Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.
nakukumbusha asiyempenda mwarabu ni mmarekani na ndiye alimpandikiza muisrael kupambana na huyo mwarabu ili uchumi wake ukue maradufuNawakumbusha tu kiboko ya waarabu duniani ni ISRAEL ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฑ