babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Baada ya tisha toto na kuchaguwa missiles zitazowafaa kwa kazi yao ya leo, Hezbollah wakasambaratisha kabisa kituo (base) ya anga ya mazayuni:Hii habariya leo 6/01/2023 kutokea kwa kiboko ya mazayuni, Hezbollah imenifanya nicheke tu.
Leo Hezbollah wameshambulia kambi ya anga yenye ndege na miundombinu ya kujihami angani kama vile "iron Dome" ya mazayuni.
Cha kustuwa ni kuwa Hebollah wametumia aina 62 tofauti za missiles kwa muda mfupi tu. Haijawahi kutokea kitu kama hiki duniani.
Wametowa tamko baada ya shambulizi hilo na kusema hiyo ni "bashraf" tu, tupo katika kutazama missiles zipi zitafaaa zaidi kuwafinyia, mashambulizi kamili hayajaanza.
Jeshi la uvamizi la mazayuni limekiri kuchezea kichapo. Jionee mwenyewe:
View: https://youtu.be/6D8jIVgWxnI?si=d5aLik53xHVyANd5
Hii tisha toto ya leo inanifanya sasa nielewe zaidi kwanini mazayuni waliwahi kunyanyuwa mikono (kusalimu amri) na kukiri kuchezea kichapo kutokea kwa Hezbollah.
Halafu jana Hassan Nassrallah, aliwaambia mazayuni "vijana wa Hamas wa Ghaza walikuwa wanapima kina cha maji tu na wameionesha dunia kuwa IOF si chochote si lolote, sasa subirini muelewe vita ni nini". Halafu leo anawafanyia vituko hivyo.
Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana, hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zangu.We bibi nilishakwambia saa nyingine ukumbuke kuosha hilo pori hapo chini badala ya kushinda kubishana humu.
Watu wanapigwa sana tu huko kimyakimya,we uko humu kupiga propaganda.
Njoo j3 uone idadi.
Lebanon ndo ziraili anaenda we ngoja tu.
Ushantukana sekunde mbili tu zilizopita.Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana
Kuamini ama laa sio kosa lake sasa hilo nikosa lako kijanaHii I'd hua nawasiwasi kua ni msela,
Hua sikuamini kabisa,kwa tuliopitia psychology za uchororon unakila dalili wewe ni msela
Wameomba Ufaransa na USA waiambie Hezbollahniwache mashambulizi, majibu ni haya:Subiri comeback ya Israel uanze kusema wanauwa watoto na vikongwe
We people of the middle east we had high hope that one day peace will come to middle east but recent the action and comments of zionistic regime unfortunately that its long way until the day these people understand that they cannot force people to be ruled by the gunWameomba Ufaransa na USA waiambie Hezbollahniwache mashambulizi, majibu ni haya:
View: https://youtu.be/wHfgFwdrtK0?si=cbaCyd3sjCWBFdId
Unaelewa Kingereza au tukutafsirie?
Should pray is not expanding to other areas because already in yemen red seaWe people of the middle we had high hope that one peace will come to middle but recent the action and comments of zionistic regime unfortunately that its long way until the day these people understand that they cannot force people to be ruled by the gun
the surveillance radar was hit by laser targeting anti missile and its believed it has been destroyed
people who knows about radar how important this station to zionist will tell you
people don't hate jews but they don't accept zionist killers
the world is changing and the way wars are fought are changing
just imagine American had difficult tunnels war in Vietnam now the zionist killers are fighting brave young fighter coming out of highly sophisticated tunnels to them
the merkava tank was designed as best tank but it is destroyed by home made anti tank
one day War will stop but zionist regime will not be the same acting as masters of middle east
they have a choice to leave in peace with their neighbors or self destruction
people don't scare of them now because they discovered their weakness
people should pray this is expanding to other areas
their need another Rabin
nimeandika kizungu kusudi huyo mjanja anayetukana waarabu atarjimu nilichoandika
Kwanza mazayuni kupigana na Hamas tu ni mtihani mkubwa sana kwao, maana sasa vijana wa Hamas huko wanafanya uhuni wa wazi wazi kuwaudhi mazayuni.Subiri comeback ya Israel uanze kusema wanauwa watoto na vikongwe
Huu ni uhuni usio na mfano.Hamas wanedeleza utani.
Msikilize wanemtafuta kwa udi na uvumba anawaambia nini hapa:
View: https://youtu.be/rRawphtvtfg?si=NdHDPj9j4HsXrw0n
Oya nyie acheni maskhara hata kama mimi ndio ningekua mjeda ningeomba ku retreat.Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana, hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zangu.
Hiki kichapo kingine cha mitaani, kinachowamaliza mazayuni mpaka hawaoni wanaewapiga wakaenda kupiga maiti makaburini:
View attachment 2864112
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Hamas ni mafalaaa.Kwanza mazayuni kupigana na Hamas tu ni mtihani mkubwa sana kwao, maana sasa vijana wa Hamas huko wanafanya uhuni wa wazi wazi kuwaudhi mazayuni.
Kupigana na ma shaheed wa Hamas ni kazi ngumu sana. Sikiliza mashine hiyo wanaipiga kimziki:
View attachment 2866762
Nawakumbusha tu kiboko ya waarabu duniani ni ISRAEL ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฑ
Subiri comeback ya Israel uanze kusema wanauwa watoto na vikongwe
Hawa Wapalestina yaani hawana wasiwasi kabisa, huko Khan Younis ambako ndiko majeshi yote ya Kizayuni yamejikusanya, Abou Obaidah jana kajitokeza hukohiuko kuwaonesha kuwa tupooo:
View: https://youtu.be/98d8TVLllL0?si=fKCtSBlEgo-tjqK0
Picha hizi background inaonesha yupo kama meter 100 tu kutoka kwenye mkusanyiko wa majeshi ya mazayuni.
Hawa vijana wana ushujaa ambao haujwahi kuonekana duniani.