Hezbollah yawafanyia machezo ya "tisha toto" Israel

We bibi nilishakwambia saa nyingine ukumbuke kuosha hilo pori hapo chini badala ya kushinda kubishana humu.

Watu wanapigwa sana tu huko kimyakimya,we uko humu kupiga propaganda.

Njoo j3 uone idadi.

Lebanon ndo ziraili anaenda we ngoja tu.
 
Acha kushabikia Vita miss JF .
 
Baada ya tisha toto na kuchaguwa missiles zitazowafaa kwa kazi yao ya leo, Hezbollah wakasambaratisha kabisa kituo (base) ya anga ya mazayuni:

Your browser is not able to display this video.


Kumbuka; hicho ni moja ya vituo vinavyolindwa na kila aina ya mitambo ya kisasa ya kushambuliwa, lakini tumeona kinachapwa kama vile hakuna mtu au ulinzi.

Hezbollah inatisha.
 
We bibi nilishakwambia saa nyingine ukumbuke kuosha hilo pori hapo chini badala ya kushinda kubishana humu.
Watu wanapigwa sana tu huko kimyakimya,we uko humu kupiga propaganda.
Njoo j3 uone idadi.
Lebanon ndo ziraili anaenda we ngoja tu.
Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana, hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zangu.

Hiki kichapo kingine cha mitaani, kinachowamaliza mazayuni mpaka hawaoni wanaewapiga wakaenda kupiga maiti makaburini:

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana
Ushantukana sekunde mbili tu zilizopita.
Anyway tuachane na hayo hapa tunafurahia jukwaa tu.
Nisamehe kama nimekukwaza.
Nilitaka kukuchangamsha tu.
 
Wameomba Ufaransa na USA waiambie Hezbollahniwache mashambulizi, majibu ni haya:


View: https://youtu.be/wHfgFwdrtK0?si=cbaCyd3sjCWBFdId
Unaelewa Kingereza au tukutafsirie?
We people of the middle east we had high hope that one day peace will come to middle east but recent the action and comments of zionistic regime unfortunately that its long way until the day these people understand that they cannot force people to be ruled by the gun
the surveillance radar was hit by laser targeting anti tank missile and its believed it has been destroyed
people who knows about radar how important this station to zionist will tell you
people don't hate jews but they don't accept zionist killers
the world is changing and the way wars are fought are changing
just imagine American had difficult tunnels war in Vietnam now the zionist killers are fighting brave young fighter coming out of highly sophisticated tunnels to fight them
the merkava tank was designed as best tank but it is destroyed by home made anti tank
one day War will stop but zionist regime will not be the same acting as masters of middle east
they have a choice to leave in peace with their neighbors or self destruction
people don't scare of them now because they discovered their weakness
people should pray this is not expanding to other areas
their need another Rabin
nimeandika kizungu kusudi huyo mjanja anayetukana waarabu atarjimu nilichoandika
 
Should pray is not expanding to other areas because already in yemen red sea
 
Subiri comeback ya Israel uanze kusema wanauwa watoto na vikongwe
Kwanza mazayuni kupigana na Hamas tu ni mtihani mkubwa sana kwao, maana sasa vijana wa Hamas huko wanafanya uhuni wa wazi wazi kuwaudhi mazayuni.

Kupigana na ma shaheed wa Hamas ni kazi ngumu sana. Sikiliza mashine hiyo wanaipiga kimziki:

Your browser is not able to display this video.
 
Nikiwaambia kupigana na Hamas ni kujitia ugonjwa moyo, msifikiri natania. Hawa vijana jinsi walivyoizowea vita, tazama sniper waa Hamas badala ya kumuuwa huyu kamfanya nini:

Your browser is not able to display this video.


Kama si kyufanya utani kwenye vitu serious kwenye medani yeye anamtowa mwenzake korodani. Si bora angemuuwa tu?
 
Tazama mazayuni wanvyouingia mtego kichwa kichwa:

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa kijana matusi yanini? Sijawahi kukutukana, hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zangu.

Hiki kichapo kingine cha mitaani, kinachowamaliza mazayuni mpaka hawaoni wanaewapiga wakaenda kupiga maiti makaburini:

View attachment 2864112
Oya nyie acheni maskhara hata kama mimi ndio ningekua mjeda ningeomba ku retreat.
Jamaa wanavyotungua hivyo vifaru kama wanapopoa maembe mtini doooh!!!!
 
๐Ÿ˜—๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hamas ni mafalaaa.
Yani hata hiyo RPG wameipiga pembeni kama wangetaka kuwaua wangewaua .Doooh hahahha inatia hasira hiii.
 

Ni mwanaume kweli kweli huyu ndugu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ