IMRANMUSHI
Member
- Sep 8, 2016
- 42
- 14
- Thread starter
-
- #61
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eti wanasema anauza sura...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu relax hakuna haja ya wewe kupaniki. Humu utayaona mengi zaidi ya Hayo uliyoyaona Leo.Nashukuru sana kwa wote mlionitolea maneno mabaya ambayo cjaridhishwa nayo labda2 niwajb kwamba kwann mcnge niambia2 nimekosea kulikoni kunipa maneno km hayo? Me huwa Nina heshima situkanan na mtu ila2 naomba km unahic umetoa neno lolote ambalo co zuri nitake radhi nitakusamehe
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Ngoja nikwambie kitu humu JF tupo Watu wa Kila aina. Don't take so serious.Sina hasira hata kidogo nlichogundua ni kwamba watu wanasema hapa panahitajika akili tu co sura yaan great thinkers sasa kivp tutakuwa ma great thinkers kam2 akikosea tutashindwa kumuelimisha? Badala yake tunamkejeli bd hatujawa ma great thinkers.....
Anajiuza kwa wadada wenye umri mkubwaPicha ya nini wewe, mbona unakua mshamba ivo
Mushi kabisa kweli auvae ushamba wa Kisukuma eti kwa kukaa Rocky City tu? Si kwa miwani hii na kulegea huku aisee. Huyu kamanda iko namna si bure![emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya editing toa picha hiyo!Ndio natumia j 5