Hi

Karibu sana hapo ndo kuna kila dizain za watu. Kama ulivojitambulisha tu apo umeona thread za utambulisho hazinaga comment nyingi ila sabbu ya picha umewapa kitu cha kuongea
Ila dont take it serious..potezea tu uendelee kujifunza
 
Kijana huku sio badoo kwamba unakuja kuuza sura sasa picha umetuwekea ya nini?
 
Kwan namuogopa nan ncrud
Please jaribu kuandika kwa ufasaha. Huu uandishi wa Facebook na Instagram wa "ncrud" hata uwe na nondo namna gani nobody will take you seriously. Sana sana utakuwa judged kuwa ni denti sharobaro wa sekondari. Be serious now. Umetinga kwa great thinkers kwenye watu wa kila aina.
 
Kazi Yako kutafuta MTU kakosea wap umkosoe ee fata Yako Mr.
 
Misuko suko ktk hoja ndo kipimo cha GT yako alafu wewe Una heshima embu nyambulisha heshima yako ikoje? Maana umesema unayo tu kumbe inaweza kuwa heshima 1g watu wa heshima 10t na wamenyamaza kimya. Karibu bana
 
Rekebisha uandishi wako Dogo hii sio Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…