Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Huyu tayari keshaharibu id washakariri... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tayari keshaharibu id washakariri... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mushi kabisa kweli auvae ushamba wa Kisukuma eti kwa kukaa Rocky City tu? Si kwa miwani hii na kulegea huku aisee. Huyu kamanda iko namna si bure![emoji23][emoji23][emoji23]Ukimuuliza vyema utakuta aliishi Mwanza au maeneo kama hayo[emoji1] [emoji12] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
46 yrs[emoji15] [emoji15]you are welcome but you must act as full grownup guy,
Eti ana 46 f***in' yrs huyu anatafuta kikiAisee mapichapicha tena?...huku sio fb we dogo
Aisee bwana Mushi umetisha aisee...lakini....karibu tu jamaa angu.Me ni mgeni naomben mnipokee[emoji124] [emoji124] View attachment 396138
Humu tunataka akili, sio nyagoMtoto mzuri hiyo picha inakutambulisha vibaya, itoe tu. Watu wanataka zaidi u-great thinker kuliko picha ama muonekano.
Watakuharibia mudi sasa hivi.
Sawa,Me ni mgeni naomben mnipokee[emoji124] [emoji124] View attachment 396138
Kwa hiyo unataka kusemaaKijana alijua fb so akatupiamo
Aisee bwana Mushi umetisha aisee...lakini....karibu tu jamaa angu.
Hahaaa wa kishmundu huyuAngekuwa Msukuma mngesema. Huyu si Mchaga kabisa huyu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mbwembwe zaidi picha ameweka ya black n white.Huyu hatarudi tena
Picha ya nini sasa ahhhhhMe ni mgeni naomben mnipokee[emoji124] [emoji124] View attachment 396138
Eti wanasema anauza sura...[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa mbwembwe zaidi picha ameweka ya black n white.
Hivi utambulisho wa picha ni kosa au?